To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
1.Anajitambua kuwa yeye ni mwanaume, hivyo anakuwa hana sifa za:
a. Ushoga
b. Vijembe
c. Umbea
d. Kususa
e. Kusuta
f. Kupoteza muda kwa visivyomhusu
g. Umario
h. Kusimanga mwanamke ingali alizaliwa na mwanamke
I. Kumdharau single mother ingali anajua nae kakataa mimba ya mtoto wa MTU, kakataa kuoa aliyemtia mimba
j. Kusimulia wanawake aliowala (kusifia uzinifu)
k.......
l........
m......
Wanawake, kama kuna pahala nimesahau muendelee.
NB: BE A MAN!
a. Ushoga
b. Vijembe
c. Umbea
d. Kususa
e. Kusuta
f. Kupoteza muda kwa visivyomhusu
g. Umario
h. Kusimanga mwanamke ingali alizaliwa na mwanamke
I. Kumdharau single mother ingali anajua nae kakataa mimba ya mtoto wa MTU, kakataa kuoa aliyemtia mimba
j. Kusimulia wanawake aliowala (kusifia uzinifu)
k.......
l........
m......
Wanawake, kama kuna pahala nimesahau muendelee.
NB: BE A MAN!