Sifa za mwanaume

Sifa za mwanaume

Wanaume Wapi, ni wanawake nyie, nyie, tena mmekuwa wahuni sana, shetani anawatumia sana nyie.

Yani wanaume yatufaa kuwa makini sana na nyie wanawake, hakuna kucheka na kima Wala kuwaendekeza.
😂😂😂😂Be a man...huwez shindana na kulikokuzaa
 
Yaani sifa za mwanaume zimeandikwa na mwanamke alafu mwanamke mwenyewe singo maza
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Ndo tunaowataka nyie,mnaoharibu future za watoto wa watu ili mje kujitutumua humu kwa kuwaponda single mother....mi nakukumbusha tu..just be a man👊
 
Ni hatari kuoa single mother hata Kama wewe. Ulimp mtu Mimba usioe single mother
 
Sifa za mwanaume,yaan mwanaume:

Awe anajua kukutembezea rungu haswa huku anakuchapa makofi kwenye matako/makalio yako na akimaliza hapo inabidi umshukuru kwa kukutembezea rungu na makofi ya kutosha kwenye matako/makalio yako

Huyo ndio mwanaume, hana sifa sizingine za ziada
😳so sad
 
1.Anajitambua kuwa yeye ni mwanaume...hivyo anakuwa hana sifa za;
a.Ushoga
b.Vijembe
c.Umbea
d.kususa
e.kusuta
f.kupoteza muda kwa visivyomhusu
g.umario
h.kusimanga mwanamke ingali alizaliwa na mwanamke
I.Kumdharau single mother ingali anajua nae kakataa mimba ya mtoto wa MTU,kakataa kuoa aliyemtia mimba
j.kusimulia wanawake aliowala (kusifia uzinifu)
k.......
l........
m......
Wanawake,kama kuna pahala nimesahau muendelee

NB:BE A MAN!
Naomba kujua umario ni nini
 
wanawake weusi mara nyingi wana malalamiko sana nakisirani.ndio Mana wengi nisingo mama.mtaoza hivyo hivyo nauweusi wenu Kama kiwi
Hongera wewe uliyemweupe afu wenye rangi zao wanakuita african
 
sisi mapadri tunakaa kundi gani?
Kwenu studio
 
Back
Top Bottom