Sifa za mwanaume

Sifa za mwanaume

We call it tit4tat, Lkn mara nyingi huwa inakula kwenu na mnaishia kuwa heartbroken 😔 na singlemama

Usumbufu sio mzuri hata wewe unajua kero sio nzuri raha ya kitu ukipate kwa wakati ili hata matokeo yake yanapokuja unakuwa mwepesi kuyakubali...
Pole sana singlefather
 
We call it tit4tat, Lkn mara nyingi huwa inakula kwenu na mnaishia kuwa heartbroken [emoji17] na singlemama

Usumbufu sio mzuri hata wewe unajua kero sio nzuri raha ya kitu ukipate kwa wakati ili hata matokeo yake yanapokuja unakuwa mwepesi kuyakubali...

Mimi nawapa pole wadada watakajiochanganya/waliojichanganya kwa watu wenye mindset ya namna yako.

Sina la ziada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uzi nafkir umekaa kimkakati zaidi.

Enewei, Tafsiri ya MWANAUME ni pana kiasi. Ila cha msingi Awe na Marinda yote bila upotevu wa rinda hata moja.

Awe na uwezo wa Kunyanyua Uume wake kwa ufasaha zaidi.

Awe atleast ana uwezo wa kutafuta sh 100/200 kwa siku.

Hayo mengine ni Miscellaneous issues.
 
Real man hana sifa, real man anatembeza makora kwa kila feminist ili heshima ibaki kwa masculinities kila siku na kila sehemu, sio habari za mfumo dume Ila ndio mwanaume inabidi awe hivyo mwanamke akizingua mabanzi mabanzi huku anamkandamiza na maneno "si nilikwambia usifanye hivi kwanini umerudi tena kufanya hivi?" Mabanzi mabanzi "kwanini umerudia kuchelewa kurudi kabla yangu si nakwambia mimi ndio inabidi niwe wa mwisho kuingia ndani ya nyumba hii?" Mabanzi mabanzi, "kwanini mtoto analia wewe hautaki kumnyonyesha kwanini humpi chakula chake huyu mtoto?" Mabanzi mabanzi,

Huyo ndio mwanaume na mwanaume lazima aongee ili aeleweke mwanaume hakai kimya kimya kinyonge kinyonge km boyanazi fulani hivi hakuna mwanaume wa hivyo, mwanaume hua anaanza kwanza alafu mwanamke anafuata nyuma hio ni tangu na tangu ndio ipo hivyo, achana na ile ya ladies first ya kizungu, uliona wanawake wakitangulizwa mbele wakiwa vitani?

Msituni kuwinda wanyama wakali km Simba na Chui na Nyati hua wanaume ndio wanaenda kupambana sio wanawake (waulize wamasai), kunapotokea vita wanaoenda front line na kufa kwa wingi ni wanaume sio wanawake (fuatilia vita ya Ukraine wanaokufa wengi ni akina nani), ushaelewa wewe kiazi?

Na kambini jeshini wanapoimba nyimbo za kiume hawakaikai kigaigai km maandazi ya porini tu lazima waongee tena kwa ukakamavu na kubana matako na kutiana makonzi, makofi na mabanzi, huyo ndio mwanaume lazima uwe mkakamavu na jasiri sio unalegealegea tu km mlenda pori

Panapotokea nyoka amaevamia sehemu anaepelekwa front line kupambana na huyo nyoka ni mwanaume, na anapambana kishupavu na kishujaa mpaka nyoka anapotezwa kabisa, Ila mwanamke hubaki nyuma kusubiri nini kinafuata

Emu acha kumpa mwanaume sifa zisizomhusu, kwanza itakua haumjui mwanaume ni nani
 
Mtapunguza usumbufu au bado tutaendelea kuitwa mbwa🐕 daah! Hili neno limekua too much on women’s tongue like everywhere kwa hapa bongo huko states utasikia di*head yan vuruguvurugu, Kwa mbona mkikwazwa kidogo nilugha chafu zina toka tu midomoni mwenu!
 
Mtapunguza usumbufu au bado tutaendelea kuitwa mbwa🐕 daah! Hili neno limekua too much on women’s tongue like everywhere kwa hapa bongo huko states utasikia di*head yan vuruguvurugu, Kwa mbona mkikwazwa kidogo nilugha chafu zina toka tu midomoni mwenu!
😂😂 Ulale sasa au huko kwenu mchana?
 
Back
Top Bottom