Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Ujinga sipendi na nidhamu ya uoga ni kitu nilinyimwa[emoji28] yani mtu analilia kuheshimiwa ila kichwani boksi eboooo[emoji38] na wakija tena watayaoga.
Hakyanani? [emoji1787][emoji15]are you serious? Jeshi kubwa? U can't be serious! Mbali na uchache wa wanaume kupitia sensa lakini kwa idadi ile iliyotolewa nusu yake ndo wanaume wengine wanapumuliwa na wanaume[emoji124][emoji124]
Hem nishike mkono mkuu unipeleke kwa mangi wacha roho mbaya.Mimi na jeshi langu tunakuzawadia makreti ya soda mwaka mzima[emoji28]usikonde
Tungekuwa tunaongea kwa hoja tungeendelea[emoji23][emoji23][emoji23]habari ndo hiyo,jifunze kwa yanayokuhusu...kushughulika na yasiyokuongezea kula kwa MTU anayejiita mwanaume ni aibu[emoji23][emoji23]
Mimba ubebe wewe afu uje kunisumbua mimiKama hamzitaki mimba tumieni kinga. Huwa sielewi kauli ya kutegeshewa mimba ilhali mtu kala kavu akiambiwa habari za mimba anang'aka kategeshewa.
We call it tit4tat, Lkn mara nyingi huwa inakula kwenu na mnaishia kuwa heartbroken 😔 na singlemama
Twende rafki anguHem nishike mkono mkuu unipeleke kwa mangi wacha roho mbaya.
[emoji23][emoji23] mwee maisha haya. Pole zao watakaojichanganya, hamna kitu hapo.Mimba ubebe wewe afu uje kunisumbua mimi
[emoji23][emoji23] Mvulana huyo, hakuna mwanaume mwenye akili ya namna hiyo.Be a man
Yaan daa,kweli wanawake ni wengi kuliko wanaume.DaaUkiutoaa ushogaa ambao wengi wana ufanyaa kwa kujifichaa, hizo sifa nyingne zotee wanazo, na wako very proud.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo hvyoo yaan. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaan daa,kweli wanawake ni wengi kuliko wanaume.Daa