Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
🤣🤣🤣 daah!Ubahili ujasema cc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 daah!Ubahili ujasema cc
Ndio au niiwekeje hapo😂😂🤣🤣🤣 daah!
Kwa ni lazima ukishika mimba yangu niikubali?
Ujinga sipendi na nidhamu ya uoga ni kitu nilinyimwa😅 yani mtu analilia kuheshimiwa ila kichwani boksi eboooo😆 na wakija tena watayaoga.Umenikumbusha ule uzi kuna pipo ulizinyoosha sijazionaga tena [emoji1787] wanaume wa humu ni malaika ila wanawake ndio mashetani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Humu tuna wavulana aka Men wanna be’s basi wee kila mtu anavimba. Ukiona mtu anajihami hivyo ujue hana nguvu zote🤭😂😂nasemaje ndugu,humkuti mwanaume thabiti anaongea vibaya kwa MTU yeyote yule....mwanaume unamjua tu kwa kauli zake
Msishindane na Me tafadhali [emoji1787]Ujinga sipendi na nidhamu ya uoga ni kitu nilinyimwa[emoji28] yani mtu analilia kuheshimiwa ila kichwani boksi eboooo[emoji38] na wakija tena watayaoga.
[emoji23]vizuri
😂😂😂 wapo watu wangu nawakumbuka vizuri tu nawasubiri, wewe ntakushika mkono nikupeleke kwa mangi unywe soda kabisa. Huna baya labda ulikope😄sasa wale Wanakujaga na matusi ya kizungu utasema biden mjomba wao.Msishindane na Me tafadhali [emoji1787]
Hili jeshi ni kubwa, lina ammunition za kutosha kuwaangamiza dk zero tu!
Nalianzisha..[emoji12]
😳are you serious? Jeshi kubwa? U can't be serious! Mbali na uchache wa wanaume kupitia sensa lakini kwa idadi ile iliyotolewa nusu yake ndo wanaume wengine wanapumuliwa na wanaume🚶🚶Msishindane na Me tafadhali [emoji1787]
Hili jeshi ni kubwa, lina ammunition za kutosha kuwaangamiza dk zero tu!
Nalianzisha..[emoji12]
🤣🤣🤣hao nawaita keyboard warriors wasikutishe. Mwanaume amzidi mwanamke kwa kuchambana aki ya nani namvesha kijora twende sawa😂mi nilichokigundua wanaume wengi nguvu za kiume zimehamia mdomoni...aisee wanaongea mpaka wanatokota 🙋
Mbona ninenyoosha mkono mda tu unishike unipeleke kwa mangi mkuu. Tangu new Yr sijanywa hata novida[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] wapo watu wangu nawakumbuka vizuri tu nawasubiri, wewe ntakushika mkono nikupeleke kwa mangi unywe soda kabisa. Huna baya labda ulikope[emoji1]sasa wale Wanakujaga na matusi ya kizungu utasema biden mjomba wao.
To yeye hizo sifa ninazo, naomba nije inbox!Mambo ya taikoni unayajua wewe mkuu,mi nakumbusha tu mwanaume kujitambua uanaume wake.Be a man...vichambo waachie kina Aisha mashauz.
At your best. To yeye kwenye ubora wake1.Anajitambua kuwa yeye ni mwanaume...hivyo anakuwa hana sifa za;
a.Ushoga
b.Vijembe
c.Umbea
d.kususa
e.kusuta
f.kupoteza muda kwa visivyomhusu
g.umario
h.kusimanga mwanamke ingali alizaliwa na mwanamke
I.Kumdharau single mother ingali anajua nae kakataa mimba ya mtoto wa MTU,kakataa kuoa aliyemtia mimba
j.kusimulia wanawake aliowala (kusifia uzinifu)
k.......
l........
m......
Wanawake,kama kuna pahala nimesahau muendelee
NB:BE A MAN!
Kuna watu wanajionaga wamevurugwa automatically....sasa itakuwa temporary😂😂😂 wapo watu wangu nawakumbuka vizuri tu nawasubiri, wewe ntakushika mkono nikupeleke kwa mangi unywe soda kabisa. Huna baya labda ulikope😄sasa wale Wanakujaga na matusi ya kizungu utasema biden mjomba wao.
Mimi na jeshi langu tunakuzawadia makreti ya soda mwaka mzima😅usikondeMbona ninenyoosha mkono mda tu unishike unipeleke kwa mangi mkuu. Tangu new Yr sijanywa hata novida[emoji1787]
[emoji15][emoji15]Kwa ni lazima ukishika mimba yangu niikubali?