Vawulence
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 1,930
- 2,118
Kumekuwa na maneno menginkuwa jana Kibwana Shomari aliweza kuwadhibiti wachezaji wanne waandamizi wa Simba.
Ajabu ni kuwa madai hayo hakuna aliyeweza kuyapa nguvu kwa kuambatanisha walau video yake walau akifanya tackling hata 2 tu za maana.
Tumeona clip za Hinonga akiwadhibiti wachezaji kadhaa wa yanga. Tumeona Fei toto akiteguliwa nyonga na Chama.
Bila support ya video Kibwabwa ni utopolo kama mashabiki zake tu.
Ajabu ni kuwa madai hayo hakuna aliyeweza kuyapa nguvu kwa kuambatanisha walau video yake walau akifanya tackling hata 2 tu za maana.
Tumeona clip za Hinonga akiwadhibiti wachezaji kadhaa wa yanga. Tumeona Fei toto akiteguliwa nyonga na Chama.
Bila support ya video Kibwabwa ni utopolo kama mashabiki zake tu.