Sifurahishwi na kiwango cha Aziz Ki kwa sasa

Aziz K anaweza akapotea Kwa gemu mbili tatu ila yeye yupo kwenye daraja la pekee. Akiwa kwenye daraja lake unaona kabisa uyu Kwa umri wake Kuja kucheza uku kwetu ni jambo la kushangaza!!.
πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£
 
Kwakua tu alisajilia kwa Hype kubwa na kwakua ni mchezaji wa kigeni basi watu wanaishia wanaona haya kuusema ukweli. Aziz ki uwezo wake ni mdogo sana mchezaji hawezi hata kupunguza mchezaji mmoja sasa ataletaje faida kwa washambuliaji. Ukishakua namba kumi (10) au nane lazima uwe na uwezo wa kupunguza wachezaji wawili watatu ili uweze kutoa pass zenye madhara kwa timu pinzani.
 
Aziz K anaweza akapotea Kwa gemu mbili tatu ila yeye yupo kwenye daraja la pekee. Akiwa kwenye daraja lake unaona kabisa uyu Kwa umri wake Kuja kucheza uku kwetu ni jambo la kushangaza!!.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wanaelewa ila ubishi tu, siku hizi wanaona hata aibu kumfananisha na chama..
 
Wanaelewa ila ubishi tu, siku hizi wanaona hata aibu kumfananisha na chama..
Aziz ki hamfikii hata robo kwa uwezo wa chama kwasababu IQ ya chana na uwezo wa kufanya maamuzi sahihi sehemu sahihi kwa chama ni kubwa maradufu kushinda Azizi ki. Na ndio maana chama ana assist za kutosha kwasababu anawalisha washambuliaji ila Azizi ki anacheza vizuri kama timu inacheza vizuri na inamiliki mpira ila timu ikizidiwa basi Aziz ki naye anafunikwa humohumo.
 
Umemaliza kila kitu mkuu..
 
Wewe bhana acha kutupangia. Mashabiki wengi wa Yanga, nikiwemo mimi bado tuna imani naye.
 
Master Ki ni talented usitegemee kiwango kudrop najana kila mchezaji alikuwa akicheza kwa tahadhari alimradi asiumie..

Jumapili utamuona Master Ki mwenyewe kule Mali
Hajajua kuwa jana asilimia kubwa wachezaji wa Yanga walikuwa wanafanya mazoezi tu na hakuna hata walichokicheza, sana sana jana Yanga ilitembelea nyota tu.
 
Tumrudishe Feisal Salum...
 
Ukitaka kufaidi aziz key acheze na madunduka, au game za kimataifa hizo game za Ihefu, KMC
 
Mmh matobo mangapi kawapiga wapinzani akiwemo Shabalala
 
Hujui bolu bro kashabikie taarabu za wcb
 
Hiyo IQ alishindwaje kuitumia ile siku mpapigwa tatu mzuka?
 
Wewe unafikiri tatizo lipo kwa aziz kii tu, mtu yoyote hata awe na akili au ujuzi kiasi gani huko kwao akija hapa Tanzania baada ya siku chache tu anakuwa mweupeee. Hebu jiulize ni kimewafika watu hawa: robertinho, phiri, kisinda, makamboo, mukoko, etc
 
Hapo kuna wazembe na wala bata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…