Sigara Vs Bangi: Kwanini bangi haramu na sigara si haramu?

Na Bangi ni chanzo cha matatizo makubwa duniani kuliko sigara, Bangi ndio maana ipo kwenye kundi ya madawa ya kulevya
 
Vichaa km hawa Demi
 
Ulishawahi kujiuliza kwann k vant halali gongo haram
 
Mkuu wangu bangi haina shida hao wawili wa juu ndio wana ukichaa
NB huyo teacher wala hata hana kosa.hao wanafunzi hawana akili mwanafunzi mwenye akili hawezi kutumia vibomu
 
Mkuu wangu bangi haina shida hao wawili wa juu ndio wana ukichaa
NB huyo teacher wala hata hana kosa.hao wanafunzi hawana akili mwanafunzi mwenye akili hawezi kutumia vibomu
Yah ni kweli mm nimewahi kukaa na watu kinao wanatumia bangi na hawana matatizo yoyote ktk jamii inayowazunguka

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Haya mambo kwa hisia huwezi kufahamu
Vuta sigara wiki 1 na kisha vuta bangi siku 3 utapata jibu..
 
Uki kutana na Msichana anaye smoke weed wako vizuri mno kwenye Sex then sio waongo wa ongo.Achana na wale wanao smoke kwajili ya matatizo au maisha yame wapiga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…