Siioni Simba SC Kwenye Robo Fainali CAF

Siioni Simba SC Kwenye Robo Fainali CAF

JUST IMAGINE TAR 25/9/2021

MANULA

KAPOMBE +HUSSEIN + WAWA+ONYANGO

LWANGA + KANOUTE

BANDA+ BWALYA + SAKHO

BOCCO

( 4-2-3-1)
Hapana mbona icho kikosi chako ni kikosi kipana sana tena cha kucheza cafcl sio na hawa utopolo.
Kikosi chao hawa ni hiki.

Kakolanya.

Kapombe. Zimbwe.
Inonga. mzee Onyango.

Mkude. Lwanga.
Bwalya. Duncan Nyoni.

Boco. Kagere.
4:4:2.
 
Ninaamini kabisa Uwezo wa kuiadhibu SSC ulikuwa ni mkubwa sana na muda mwingi TP Mazembe walipokuwa na mpira walifanya mashambulizi CONSTRUCTIVE, ni vile tu walijua ni Friendly Match.

SSC kama kawaida, ni kupigiana pigiana mapasi ambayo hayafiki Robo tatu ya uwanja, ni ma pass plus plus amabayo yanachezwa kuanzia katikati ya uwanja kurudi golini kwao. Je mpira ni possession au Matokeo.?

Kikosi cha kwanza kilijitahidi ingawa hakukuwa na stricter sababishi. Baada ya hapo, kila sub iliyofanyika ilienda kubomoa kabisa chemistry ya kikosi cha kwanza na goli likapatikana.

Kifupi mpaka sasa SSC haina mtu anaeweza kufunga magoli, na bado haina stricter ya maana. Yaani stricter zilizokuwepo ni zile ambazo haziwezi kuleta matokeo, one clear Chance unatakiwa kumuadhibu kipa. Mugalu na Kibu walikuwa na clear chance na hawakuweza kuleta Matokeo.useless

Kikosi kilishabomolewa, tujiandae kwa lolote na tusiwe na expectation zozote kwenye klabu Bingwa Africa mwaka huu.

Simba ya sasa haina Chemistry wala wachezaji watakaoweza kuipeleka timu robo fainali. Nina wasiwasi sana yatatokea ya Ud Songo huku tukiwa wazuri wa kumiliki mpira kwa nyuma.

Tatizo kubwa sajili za Mo ni sajili za kimasikini na zisizo na tija; unaenda kusajili kipa wa 5, halafu unasahau striker zenye akili. Msione Ahly inachukua makombe mkadhani ni uchawi.

Hakuna uchawi kwa mpira, ni Investment.
Simba Out
nature ya mpira wa simba ni pass na possession ya mpira.

Unamponda Mo usajili wake eti wa kimasikini, kuna timu yoyote Tanzania inasajili wachezaji bora na kulipa vizuri kama simba?

Mo kafanya makubwa sana, unataka simba ianze kusajili wachezaji wa bilioni 2+ ?

Mnaiponda SSC lakini ni timu bora zaidi ukanda huu, imewabeba mmeshindwa wenyewe.

MO Dewji anastahili pongezi[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Kuna wachezaji kama kina Luis wale walikiwa ni fighter na walikuwa na dream zao kichwani ndio maana walitaka kuonekana sana

Mtu kama Mugalu, Boko, Kagere wale wamesharidhika na mil 7 za MO. Hawana future yoyote . Mwaka huu kazi ipo

Yaani STRIKER wanacheza offside hatari . Mbona TP MAZEMBE hawakuwa na ofiside. Ni kwa sababu wanajua mpira
Mazembe walitengeneza clear chances ngapi ?

Unasema hawakuwa na offside unajua kwa nini hawakuwa na offside ?
 
Ninaamini kabisa Uwezo wa kuiadhibu SSC ulikuwa ni mkubwa sana na muda mwingi TP Mazembe walipokuwa na mpira walifanya mashambulizi CONSTRUCTIVE, ni vile tu walijua ni Friendly Match.

SSC kama kawaida, ni kupigiana pigiana mapasi ambayo hayafiki Robo tatu ya uwanja, ni ma pass plus plus amabayo yanachezwa kuanzia katikati ya uwanja kurudi golini kwao. Je mpira ni possession au Matokeo.?

Kikosi cha kwanza kilijitahidi ingawa hakukuwa na stricter sababishi. Baada ya hapo, kila sub iliyofanyika ilienda kubomoa kabisa chemistry ya kikosi cha kwanza na goli likapatikana.

Kifupi mpaka sasa SSC haina mtu anaeweza kufunga magoli, na bado haina stricter ya maana. Yaani stricter zilizokuwepo ni zile ambazo haziwezi kuleta matokeo, one clear Chance unatakiwa kumuadhibu kipa. Mugalu na Kibu walikuwa na clear chance na hawakuweza kuleta Matokeo.useless

Kikosi kilishabomolewa, tujiandae kwa lolote na tusiwe na expectation zozote kwenye klabu Bingwa Africa mwaka huu.

Simba ya sasa haina Chemistry wala wachezaji watakaoweza kuipeleka timu robo fainali. Nina wasiwasi sana yatatokea ya Ud Songo huku tukiwa wazuri wa kumiliki mpira kwa nyuma.

Tatizo kubwa sajili za Mo ni sajili za kimasikini na zisizo na tija; unaenda kusajili kipa wa 5, halafu unasahau striker zenye akili. Msione Ahly inachukua makombe mkadhani ni uchawi.

Hakuna uchawi kwa mpira, ni Investment.
Simba Out
Ww ni utopolo mkuu
 
Ninaamini kabisa Uwezo wa kuiadhibu SSC ulikuwa ni mkubwa sana na muda mwingi TP Mazembe walipokuwa na mpira walifanya mashambulizi CONSTRUCTIVE, ni vile tu walijua ni Friendly Match.

SSC kama kawaida, ni kupigiana pigiana mapasi ambayo hayafiki Robo tatu ya uwanja, ni ma pass plus plus amabayo yanachezwa kuanzia katikati ya uwanja kurudi golini kwao. Je mpira ni possession au Matokeo.?

Kikosi cha kwanza kilijitahidi ingawa hakukuwa na stricter sababishi. Baada ya hapo, kila sub iliyofanyika ilienda kubomoa kabisa chemistry ya kikosi cha kwanza na goli likapatikana.

Kifupi mpaka sasa SSC haina mtu anaeweza kufunga magoli, na bado haina stricter ya maana. Yaani stricter zilizokuwepo ni zile ambazo haziwezi kuleta matokeo, one clear Chance unatakiwa kumuadhibu kipa. Mugalu na Kibu walikuwa na clear chance na hawakuweza kuleta Matokeo.useless

Kikosi kilishabomolewa, tujiandae kwa lolote na tusiwe na expectation zozote kwenye klabu Bingwa Africa mwaka huu.

Simba ya sasa haina Chemistry wala wachezaji watakaoweza kuipeleka timu robo fainali. Nina wasiwasi sana yatatokea ya Ud Songo huku tukiwa wazuri wa kumiliki mpira kwa nyuma.

Tatizo kubwa sajili za Mo ni sajili za kimasikini na zisizo na tija; unaenda kusajili kipa wa 5, halafu unasahau striker zenye akili. Msione Ahly inachukua makombe mkadhani ni uchawi.

Hakuna uchawi kwa mpira, ni Investment.
Simba Out
Ukweli mtupu.Kwa kuthibitisha hilo jumamosi Simba wanakula kipigo kitakatifu bila huruma
 
Back
Top Bottom