Siioni Simba SC Kwenye Robo Fainali CAF

Siioni Simba SC Kwenye Robo Fainali CAF

Ninaamini kabisa Uwezo wa kuiadhibu SSC ulikuwa ni mkubwa sana na muda mwingi TP Mazembe walipokuwa na mpira walifanya mashambulizi CONSTRUCTIVE, ni vile tu walijua ni Friendly Match.

SSC kama kawaida, ni kupigiana pigiana mapasi ambayo hayafiki Robo tatu ya uwanja, ni ma pass plus plus amabayo yanachezwa kuanzia katikati ya uwanja kurudi golini kwao. Je mpira ni possession au Matokeo.?

Kikosi cha kwanza kilijitahidi ingawa hakukuwa na stricter sababishi. Baada ya hapo, kila sub iliyofanyika ilienda kubomoa kabisa chemistry ya kikosi cha kwanza na goli likapatikana.

Kifupi mpaka sasa SSC haina mtu anaeweza kufunga magoli, na bado haina stricter ya maana. Yaani stricter zilizokuwepo ni zile ambazo haziwezi kuleta matokeo, one clear Chance unatakiwa kumuadhibu kipa. Mugalu na Kibu walikuwa na clear chance na hawakuweza kuleta Matokeo.useless

Kikosi kilishabomolewa, tujiandae kwa lolote na tusiwe na expectation zozote kwenye klabu Bingwa Africa mwaka huu.

Simba ya sasa haina Chemistry wala wachezaji watakaoweza kuipeleka timu robo fainali. Nina wasiwasi sana yatatokea ya Ud Songo huku tukiwa wazuri wa kumiliki mpira kwa nyuma.

Tatizo kubwa sajili za Mo ni sajili za kimasikini na zisizo na tija; unaenda kusajili kipa wa 5, halafu unasahau striker zenye akili. Msione Ahly inachukua makombe mkadhani ni uchawi.

Hakuna uchawi kwa mpira, ni Investment.
Simba Out
SIMBA Haina striker wa kufunga magoli etie. ILA Yanga ndiyo wapo.

Boco, Mugalu, Kagere walikuwa na goli ngapi msimu ulioisha?

Sarpong, Nchimbi,Feisal na Yacouba walikuwa na goli ngapi?
 
Una
Ninaamini kabisa Uwezo wa kuiadhibu SSC ulikuwa ni mkubwa sana na muda mwingi TP Mazembe walipokuwa na mpira walifanya mashambulizi CONSTRUCTIVE, ni vile tu walijua ni Friendly Match.

SSC kama kawaida, ni kupigiana pigiana mapasi ambayo hayafiki Robo tatu ya uwanja, ni ma pass plus plus amabayo yanachezwa kuanzia katikati ya uwanja kurudi golini kwao. Je mpira ni possession au Matokeo.?

Kikosi cha kwanza kilijitahidi ingawa hakukuwa na stricter sababishi. Baada ya hapo, kila sub iliyofanyika ilienda kubomoa kabisa chemistry ya kikosi cha kwanza na goli likapatikana.

Kifupi mpaka sasa SSC haina mtu anaeweza kufunga magoli, na bado haina stricter ya maana. Yaani stricter zilizokuwepo ni zile ambazo haziwezi kuleta matokeo, one clear Chance unatakiwa kumuadhibu kipa. Mugalu na Kibu walikuwa na clear chance na hawakuweza kuleta Matokeo.useless

Kikosi kilishabomolewa, tujiandae kwa lolote na tusiwe na expectation zozote kwenye klabu Bingwa Africa mwaka huu.

Simba ya sasa haina Chemistry wala wachezaji watakaoweza kuipeleka timu robo fainali. Nina wasiwasi sana yatatokea ya Ud Songo huku tukiwa wazuri wa kumiliki mpira kwa nyuma.

Tatizo kubwa sajili za Mo ni sajili za kimasikini na zisizo na tija; unaenda kusajili kipa wa 5, halafu unasahau striker zenye akili. Msione Ahly inachukua makombe mkadhani ni uchawi.

Hakuna uchawi kwa mpira, ni Investment.
Simba Out
Unaposema huioni Simba kwenye robo fainali maana yake tayari umeshaiona kwenye makundi na kufuzu mtoano!! Nikuulize Utopolo unaiona wapi?? Je utopolo imechangia pointi ngapi kwenye kjongeza nafasi za ushiriki kwenye mashindano yaliyo chini ya caf??
 
70% ya pass zao ni plus plus. So 30% ndio wakibahatika kufika and still they can’t get it.

Ni namna jinsi unaelewa mambo ,
Nyie naija mlipiga ngapi[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ile ni.mechi ya kirafiki ambayo huwezi kujua mipango ya kocha ukihusisha na mechi inayokuja mbele yao kesho kutwa tarehe 25 huwezi jua mwalimu alikua anaangali nini na kutunza wachezaji wake vipi kwaajili ya tarehe 25. Mpira ni sayansi na mipango
Acha wajichanganye kesho kutwa tuwatawanye 3bila
 
Mkuu hii clear chance za mugalu zilitoka wapi ilhali mpira wa simba haukuvuka nusu ya uwanja kwa mujibu wa maandishi yako? Malalamiko fc mmehamia simba? Hamtapokelewa, bakie kwenu huko.
Ninaamini kabisa Uwezo wa kuiadhibu SSC ulikuwa ni mkubwa sana na muda mwingi TP Mazembe walipokuwa na mpira walifanya mashambulizi CONSTRUCTIVE, ni vile tu walijua ni Friendly Match.

SSC kama kawaida, ni kupigiana pigiana mapasi ambayo hayafiki Robo tatu ya uwanja, ni ma pass plus plus amabayo yanachezwa kuanzia katikati ya uwanja kurudi golini kwao. Je mpira ni possession au Matokeo.?

Kikosi cha kwanza kilijitahidi ingawa hakukuwa na stricter sababishi. Baada ya hapo, kila sub iliyofanyika ilienda kubomoa kabisa chemistry ya kikosi cha kwanza na goli likapatikana.

Kifupi mpaka sasa SSC haina mtu anaeweza kufunga magoli, na bado haina stricter ya maana. Yaani stricter zilizokuwepo ni zile ambazo haziwezi kuleta matokeo, one clear Chance unatakiwa kumuadhibu kipa. Mugalu na Kibu walikuwa na clear chance na hawakuweza kuleta Matokeo.useless

Kikosi kilishabomolewa, tujiandae kwa lolote na tusiwe na expectation zozote kwenye klabu Bingwa Africa mwaka huu.

Simba ya sasa haina Chemistry wala wachezaji watakaoweza kuipeleka timu robo fainali. Nina wasiwasi sana yatatokea ya Ud Songo huku tukiwa wazuri wa kumiliki mpira kwa nyuma.

Tatizo kubwa sajili za Mo ni sajili za kimasikini na zisizo na tija; unaenda kusajili kipa wa 5, halafu unasahau striker zenye akili. Msione Ahly inachukua makombe mkadhani ni uchawi.

Hakuna uchawi kwa mpira, ni Investment.
Simba Out
 
😁😁😁
E1czH2CX0AAynnm.jpg
 
Ninaamini kabisa Uwezo wa kuiadhibu SSC ulikuwa ni mkubwa sana na muda mwingi TP Mazembe walipokuwa na mpira walifanya mashambulizi CONSTRUCTIVE, ni vile tu walijua ni Friendly Match.

SSC kama kawaida, ni kupigiana pigiana mapasi ambayo hayafiki Robo tatu ya uwanja, ni ma pass plus plus amabayo yanachezwa kuanzia katikati ya uwanja kurudi golini kwao. Je mpira ni possession au Matokeo.?

Kikosi cha kwanza kilijitahidi ingawa hakukuwa na stricter sababishi. Baada ya hapo, kila sub iliyofanyika ilienda kubomoa kabisa chemistry ya kikosi cha kwanza na goli likapatikana.

Kifupi mpaka sasa SSC haina mtu anaeweza kufunga magoli, na bado haina stricter ya maana. Yaani stricter zilizokuwepo ni zile ambazo haziwezi kuleta matokeo, one clear Chance unatakiwa kumuadhibu kipa. Mugalu na Kibu walikuwa na clear chance na hawakuweza kuleta Matokeo.useless

Kikosi kilishabomolewa, tujiandae kwa lolote na tusiwe na expectation zozote kwenye klabu Bingwa Africa mwaka huu.

Simba ya sasa haina Chemistry wala wachezaji watakaoweza kuipeleka timu robo fainali. Nina wasiwasi sana yatatokea ya Ud Songo huku tukiwa wazuri wa kumiliki mpira kwa nyuma.

Tatizo kubwa sajili za Mo ni sajili za kimasikini na zisizo na tija; unaenda kusajili kipa wa 5, halafu unasahau striker zenye akili. Msione Ahly inachukua makombe mkadhani ni uchawi.

Hakuna uchawi kwa mpira, ni Investment.
Simba Out
Hata ukiiona Simba utaijua basi wewe!!!
 
Simba ya Chama ndani, Miquison ndani, Morison ndani ilikuwa inapata shida sana ikikutana na Yanga.
Sasa jmosi hao wote hawapo, sijui kama watatoka salama
Simba inashinda mapema tuuu!
 
Ninaamini kabisa Uwezo wa kuiadhibu SSC ulikuwa ni mkubwa sana na muda mwingi TP Mazembe walipokuwa na mpira walifanya mashambulizi CONSTRUCTIVE, ni vile tu walijua ni Friendly Match.

SSC kama kawaida, ni kupigiana pigiana mapasi ambayo hayafiki Robo tatu ya uwanja, ni ma pass plus plus amabayo yanachezwa kuanzia katikati ya uwanja kurudi golini kwao. Je mpira ni possession au Matokeo.?

Kikosi cha kwanza kilijitahidi ingawa hakukuwa na stricter sababishi. Baada ya hapo, kila sub iliyofanyika ilienda kubomoa kabisa chemistry ya kikosi cha kwanza na goli likapatikana.

Kifupi mpaka sasa SSC haina mtu anaeweza kufunga magoli, na bado haina stricter ya maana. Yaani stricter zilizokuwepo ni zile ambazo haziwezi kuleta matokeo, one clear Chance unatakiwa kumuadhibu kipa. Mugalu na Kibu walikuwa na clear chance na hawakuweza kuleta Matokeo.useless

Kikosi kilishabomolewa, tujiandae kwa lolote na tusiwe na expectation zozote kwenye klabu Bingwa Africa mwaka huu.

Simba ya sasa haina Chemistry wala wachezaji watakaoweza kuipeleka timu robo fainali. Nina wasiwasi sana yatatokea ya Ud Songo huku tukiwa wazuri wa kumiliki mpira kwa nyuma.

Tatizo kubwa sajili za Mo ni sajili za kimasikini na zisizo na tija; unaenda kusajili kipa wa 5, halafu unasahau striker zenye akili. Msione Ahly inachukua makombe mkadhani ni uchawi.

Hakuna uchawi kwa mpira, ni Investment.
Simba Out
Ila Yanga unaiona huko Robo Fainali ya CAF?
 
Simba ya Chama ndani, Miquison ndani, Morison ndani ilikuwa inapata shida sana ikikutana na Yanga.
Sasa jmosi hao wote hawapo, sijui kama watatoka salama
Simba ya kina Laudit Mavugo ilikuwa inawatesa Yanga pia.

This time Yanga watajilipua wakijua Chama na Luis hayupo watakachokutana nacho Mungu anajua.
 
Simba ya kina Laudit Mavugo ilikuwa inawatesa Yanga pia.

This time Yanga watajilipua wakijua Chama na Luis hayupo watakachokutana nacho Mungu anajua.

Simba bado mnakazi ya kufanya. Mmekubali kuwa hamna MFUNGAJII ?

Hamtoboi Mwaka huu . Hii ndiyo gharama ya kuuza wachezaji hovyo. Toka lini MUHINDI akawa na akili

Kidole kimeingia.....pyuuuu
 
Simba bado mnakazi ya kufanya. Mmekubali kuwa hamna MFUNGAJII ?

Hamtoboi Mwaka huu . Hii ndiyo gharama ya kuuza wachezaji hovyo. Toka lini MUHINDI akawa na akili

Kidole kimeingia.....pyuuuu
Kwa hiyo kushinda leo unaona ushabeba ligi.?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787] tulia wewe utaelewa baadae kuwa simba mwenda pole ndio mla nyama
 
Wachezaji wenu kule Nigeria walifunga magoal mamngapi?

Narudia tena , hamna mfungaji na mliuza wachezaji bila TAFAKURU na kupata replacement ya maana .

Mwaka huu hamtoboi, HAKUNA MWENYE UWEZO WA KUFUNGA. Mlitakiwa ku mantain kile kikosi kwa gharama zozote while mkifanya replacement slowly but sure

Imepita hiyo , Pyuuuu
 
Kwa hiyo kushinda leo unaona ushabeba ligi.?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787] tulia wewe utaelewa baadae kuwa simba mwenda pole ndio mla nyama

Mechi 2 mfululizo hakuna goli hata moja. Kikosi kipana na mambo mambo ya kusaini mikataba ha ha ha

Simba ya Mwaka huu kama striker wenu ni mugalu imekula kwenu ha ha
 
Back
Top Bottom