Umenena mkuuSisi konde gengi tunapita naye hivyo hivyo na upepo wa kisiasa ili ashuke, tunagomea na nyimbo za zuchu[emoji205][emoji1732][emoji1787]
Naomba LINK nimpigie kura ya NDIYO Diamond...Alikemea maovu ya Serikali ya Nigeria lakini akaamua kukaa kimya kuhusu maovu ya Serikali ya Tanzania kwa sababu tu ni MNUFAIKA. AJIONGEZE imekula kwake yuko busy kusaka kura nchi nyingine za Africa. Litakuwa fundisho kubwa kwake hata kama atashinda kwamba kama anaweza kukemea yanayojiri Nigeria basi anaweza kabisa kukemea yanayojiri Tanzania pia.
Kwa hyo harmonise we una upopoma wako ukamuamini kabisa,pumbavu
Naomba LINK nimpigie kura ya NDIYO Diamond...
Kiukweli, siwezi kuwa mnafiki kuupenda muziki wake halafu kura nimpigie mwingine... Ukijiona upo kwenye hali hiyo, ujijue wewe ni MNAFIKI
Huu wivu ni kwa sababu ya umasikini wako tu ama?Anapenda sifa sana huyo, yuko fake fake ndo maana hata mimi simkubali.. mtu anajisifia ana hela kuzidi wanigeria kumbe hana, anatuonaje sisi kutudangamya!
Nini wewe team mirembee,umemeza dawa zakoMasadala tulieni dawa iwaingie nyie misukule ya DOMOKAYA.
Na wewe ukamuamini mmakonde?Acheni kumpaisha huyo mpuuzi wenu ,eti mwanamuziki mkubwa dunia wtf?? Hamonaiz alienda naija alishangaa kwamba jamaa yenu hapigwi kabisa tofauti na wanavyojitapa.
Kama yeye alihamasisha kwenye majukwaa wasiwapigie kura wanaharakati basi na yeye zamu yake wacha wanaharakati wahamasishe na yeye asipigiw kura..UBAYA UBAYA TU.
Ubora wa mtu nikuheshimu
1. Utu wa mwanadamu
2. Kukemea Uovu na unyanyasaji wa watu
3. Kutetea haki za watu
Tumeona Tanzania
-Watu kupotezwa
-Watu wasiojukikana
-Kupigwa risasi
-Kunyimwa uhuru wa kujumuika
-Kufunguliwa mashitaka bandia
Kuumizwa
Nk
Diamond hajawahi kuinuwa mdomo wake kukemea uovu na waovu.
Aibu kuwa na wasanii wasiotambuwa thamani ya wapenzi wao, mashabiki na raia wenzao.
Wewe Zaid ya kua keyboard worries,ushwahi jitokeze hadharani kukemea?Ubora wa mtu nikuheshimu
1. Utu wa mwanadamu
2. Kukemea Uovu na unyanyasaji wa watu
3. Kutetea haki za watu
Tumeona Tanzania
-Watu kupotezwa
-Watu wasiojukikana
-Kupigwa risasi
-Kunyimwa uhuru wa kujumuika
-Kufunguliwa mashitaka bandia
Kuumizwa
Nk
Diamond hajawahi kuinuwa mdomo wake kukemea uovu na waovu.
Aibu kuwa na wasanii wasiotambuwa thamani ya wapenzi wao, mashabiki na raia wenzao.
Boya hilo achana naloNa wewe ukamuamini mmakonde?
Ni kawaida ya masikini kumchukia tajiri
NAOMBA LINK BASI KIONGOZIWakati huo huo UNAFIKI wa domo kukemea maovu ya Nigeria huku akiyanyamazia maovu ya Tanzania na kuwa karibu na maccm chama cha wahuni na mafisadi ambacho ni chanzo cha matatizo yote ya Watanzania huuoni!? π³π³
Hoja zako ni zipi?Wewe Zaid ya kua keyboard worries,ushwahi jitokeze hadharani kukemea?
Na wewe ukamuamini mmakonde?
Nini wewe team mirembee,umemeza dawa zako