Siipi Simba nafasi ya kuitoa Red Arrows

Habari wakuu,

Kwa tathmini yangu fupi sioni nafasi ya Simba Kuwatoa hawa Wazambia hasa ukizingatia tumeanzia nyumbani.

Simba inabidi dirisha dogo ishughulikie kuboresha eneo la namba 6,10 na 9 hapo kuanzia msimu ujao wanaweza tena kucompete.
Mchawi siyo mpaka aruke na ungo, hata wewe una viashiria vya kichawi.
 
Hivi huwa mnarudi kusoma upuuzi mlioandika humu baada ya mechi?
 
Hivi huwa mnarudi kusoma upuuzi mlioandika humu baada ya mechi?
Kwa hiyo hakuna mechi ya marudiano tena? Tatzo la mbumbumbu hua mnajisahau sana. Makhirikhiri ilkua hivi hivi, 3-0 lkn zikachomolewa zote.
 
Kwa hiyo hakuna mechi ya marudiano tena? Tatzo la mbumbumbu hua mnajisahau sana. Makhirikhiri ilkua hivi hivi, 3-0 lkn zikachomolewa zote.
Shida uto mnaroga uwanja kwa kusota na makalio, mwisho aibu kwenu wenyewe
 
Kwa hiyo hakuna mechi ya marudiano tena? Tatzo la mbumbumbu hua mnajisahau sana. Makhirikhiri ilkua hivi hivi, 3-0 lkn zikachomolewa zote.
Haya. Mwambie jaji kuwa huwa unarudi kusoma upuuzi wako na unaongeza mwingine.
 
Nasikia jamaa wamejipanga piga ua Morrison hachezi kwao
 
Yani ww upo zako nakapanya umekula magimbi yako umeshiba unasema siipi simba ushindi!
Sawa kama wewe ndo mtoa ushindi na usiipe,,,
 
Habari wakuu,

Kwa tathmini yangu fupi sioni nafasi ya Simba Kuwatoa hawa Wazambia hasa ukizingatia tumeanzia nyumbani.

Simba inabidi dirisha dogo ishughulikie kuboresha eneo la namba 6,10 na 9 hapo kuanzia msimu ujao wanaweza tena kucompete.
Aiseeee

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…