This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Hujui hata aliyemleta Aucho, unapanua domo tu. Shabiki maandazi kufikiri unajua kumbe yooooMuwahini Aucho akawaokoe maana mpaka msubiri yanga atafute wachezaji kisha mpanue madomo kuwataka.
Au kanoute, banda, sakho, kibu wanawatosha?