Umekalili mkuu tp mazembe sio timu ngumu bali timu yenye jina kubwa.Ktk michuano hii timu ngumu kwa simba ni Mazembe tu zingine zote ni za kawaida.
Mimi nawapa simba nafasi ya kufika finalise safari hii.
wewe ni mkubwa au mdogo wake KABWILI???Simba wanaweza kurudi kapa toka Zambia ukakalia matako chini kabisa ardhini..!! [emoji14] [emoji14] π
Kabwili ndio nani?wewe ni mkubwa au mdogo wake KABWILI???
hamna timu ya kuisumbua Simba hapo kwenye orodha yakoAsec unawafahamu? Berkane! Pyramid
Yule dhoga wa yangaKabwili ndio nani?
Mara paap kesho yanajirudia ya kaizer chiefs kule south Africahamna timu ya kuisumbua Simba hapo kwenye orodha yako
Kwamba wanatufunga 4 bila sio? Hiuo haiwezekani wanaweza kupata goli mbili ila kwa moja maana simba hawezi kukosa goli ugenini.Hapana
Ila kwa aina ya kikosi tulichonacho sasa hatuwezi pata ushindi wa kutosha hapa kutufanya twende kule tukaudefend au hata kushinda kabisa.
Habari wakuu,
Kwa tathmini yangu fupi sioni nafasi ya Simba Kuwatoa hawa Wazambia hasa ukizingatia tumeanzia nyumbani.
Simba inabidi dirisha dogo ishughulikie kuboresha eneo la namba 6,10 na 9 hapo kuanzia msimu ujao wanaweza tena kucompete.
Hivi hii timu bado ipo huko Zambia?Unadunda haswa ... Na ndicho kilichotokea Simba vc Mufurila Wanderers miaka ile ; Simba ilivyosonga mbele baada ya kufungwa 4-0 Dar na kushinda 5-0 Kitwe, Zambia.
Haya sasa ndio jumapili jioniTuktane hapa jpili jioni tujadili.
Sawa mchambuzi huruKwa tathmini yangu fupi sioni nafasi ya Simba Kuwatoa hawa Wazambia hasa ukizingatia tumeanzia nyumbani.
Simba inabidi dirisha dogo ishughulikie kuboresha eneo la namba 6,10 na 9 hapo kuanzia msimu ujao wanaweza tena kucompete.