Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asa apo dunia imekwisha kivipiDunia imekwisha.
Vijana hawafanyi chochote zaidi ya kushinda kubet
Jijini Dar es salaam ndio kazi anakula analiwa jioni anarejea na unga na dagaa
Kila mtu na ajira yakeKunajamaa aliniambia kua ndani ya vibanda vya betting kunawatu hukaa kuanzia saa5 asubuhi mpaka jioni wakiwa namikeka yao.
Ila mimi kinacho nishangaza nikwamba ikiwa hukaa hadi jioni wanaludi kulala tuu hawa watu hela za kubetia hutoa wapi kila siku wakati hawafanyi kazi yoyote!
Zaidi nikwamba sasahivi wanatembea napeni zao zakusahihisha mikeka yao tena peni nyekundu kabisa🤔🤔🤔
Hii kitu ilinishangaza sana..naniuhakika kwamba hawa watu walio fikia hivo niwa athirika wa Afya yao ya Akili.
Tatizo ameshaathirika..yaani mlevi kama mlevi wa betting au niiite gambling 🎰 kabisa. Yaani unakuwa umekufa umeoza kwenye kamari.Kila mtu na ajira yake
unafikiri akipata mishe zingine za kufanya atashinda betting
The end justifies the means.., kuna waokota makopo piaDunia imekwisha.
Vijana hawafanyi chochote zaidi ya kushinda kubet
Jijini Dar es salaam ndio kazi anakula analiwa jioni anarejea na unga na dagaa
Aisee, sa kwanini ulikula vya watu huku ukijua wewe huwezi kuja kumpendaTatizo ameshaathirika..yaani mlevi kama mlevi wa betting au niiite gambling 🎰 kabisa. Yaani unakuwa umekufa umeoza kwenye kamari.
Kama hujawahi kuona mtu mtu amefall in love hutaelewa.
Kaka mmoja alinipenda sana. Alitongoza kwa kujiamini sana..akanikosa...akanihonga sana..yaani nikikohoa tu atafanya...amenitafutia kila alichoona nakitamani...hana hata ist ananiahidi Range..wanaume! Amekufa ameoza....ananioesha hata akaunti yake salio.....si akahamisha penzi kwenye betting...akawa ana weka mkeka million kwenye kubet.
Hata kazini amefukuzwa. Na anashinda vibandani.
Umeharibu future yake badae utakuja kusema wanaume mbwa mwanaume akikupenda yuko radhi kufanya lolote akupe furaha, Dah so sad to him wewe ni shetani 😈.Tatizo ameshaathirika..yaani mlevi kama mlevi wa betting au niiite gambling 🎰 kabisa. Yaani unakuwa umekufa umeoza kwenye kamari.
Kama hujawahi kuona mtu mtu amefall in love hutaelewa.
Kaka mmoja alinipenda sana. Alitongoza kwa kujiamini sana..akanikosa...akanihonga sana..yaani nikikohoa tu atafanya...amenitafutia kila alichoona nakitamani...hana hata ist ananiahidi Range..wanaume! Amekufa ameoza....ananioesha hata akaunti yake salio.....si akahamisha penzi kwenye betting...akawa ana weka mkeka million kwenye kubet.
Hata kazini amefukuzwa. Na anashinda vibandani.
Hali imekuwa mbaya, hakuna control orr regulation, lakin pia ni direct impact na result ya ufinyu wa ajira nchiniKunajamaa aliniambia kua ndani ya vibanda vya betting kunawatu hukaa kuanzia saa5 asubuhi mpaka jioni wakiwa namikeka yao.
Ila mimi kinacho nishangaza nikwamba ikiwa hukaa hadi jioni wanaludi kulala tuu hawa watu hela za kubetia hutoa wapi kila siku wakati hawafanyi kazi yoyote!
Zaidi nikwamba sasahivi wanatembea napeni zao zakusahihisha mikeka yao tena peni nyekundu kabisa🤔🤔🤔
Hii kitu ilinishangaza sana..naniuhakika kwamba hawa watu walio fikia hivo niwa athirika wa Afya yao ya Akili.
Mnahukumu pasipo Akili ni yupi kituko kati ya wanasiasa wasiotosheka na ufisadi au hao wanaobet...kati ya anaye gawa bandari bure tena milele kwa kupewa phd za kuchambia na anaye cheza michezo ya kubeti nani ni mpumbavu hapo....kwa tanzania wapumbavu wakuu kabisa wanapatikana kwenyeKunajamaa aliniambia kua ndani ya vibanda vya betting kunawatu hukaa kuanzia saa5 asubuhi mpaka jioni wakiwa namikeka yao.
Ila mimi kinacho nishangaza nikwamba ikiwa hukaa hadi jioni wanaludi kulala tuu hawa watu hela za kubetia hutoa wapi kila siku wakati hawafanyi kazi yoyote!
Zaidi nikwamba sasahivi wanatembea napeni zao zakusahihisha mikeka yao tena peni nyekundu kabisa🤔🤔🤔
Hii kitu ilinishangaza sana..naniuhakika kwamba hawa watu walio fikia hivo niwa athirika wa Afya yao ya Akili.