Sijaamini macho yangu kuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza kuteuliwa kuwa DED wa Masasi

Si ili mradi kwenye nafasi kuna mtu amewekwa kuijaza? Kwani shida nini?
 
Kwani wewe ni kipofu? Jiwe ndio alianzisha hili na linaendelezwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…