tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,491
Rais Magufuli alipokuwa anafungua kiwanda mjini Morogoro alipata nafasi ya pia ya kumpokea Mwanamuziki maarufu mjini hapo Afande Sele kutoka chama cha ACT na kujiunga na CCM.
Lakini wakati Afande Sele akishikana mkono na Rais Magufuli mkono mwingine ulishikwa na moja ya walinzi wa Rais....nini hasa kilipelekea mlinzi huyo kumshikana mkono mwingine Afande Sele?