tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,491
- Thread starter
- #41
Kuna matukio mengi tu Rais huwa anafanya na hayako katika ratiba....mfano yule mama aliyekabidhiwa pesa na Rais hakuwa katika ratiba na alisalimiana na Rais baada ya kupewa pesa na watu wengine lakini hatukuona mkono wa mlinzi ukimzuia.Inasemekana kila atakachofanya president kinakuwa kwenye ratiba, na kusalimiana na Afande sele haikuwemo kwenye ratiba, na hiyo inakuwa katika malengo ya ku-control mazingira ili kuhakikisha usalama.
Ndiyo maana nataka hasa kujua Sele alitaka kufanya nini mpaka akamatwe mkono. hili jambo ni very serious ingawa kuna watu wanaona ni jambo la wanausalama na ni la kawaida tu.