Mashambulizi kwa yule unayemlinda huwa sio lazima yawe ya kibunduki.
Yapo pia ya kikemikali, na mengineyo.
Ni standard procedures tu.
Umenusa. Kile kipasa sauti !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashambulizi kwa yule unayemlinda huwa sio lazima yawe ya kibunduki.
Yapo pia ya kikemikali, na mengineyo.
Ni standard procedures tu.
Mm kuna cku ulivyokua unapiga bit wale wanao taka kuandamana nlijua ww ni mpiga kwata...na nkajua huwez uliza swali la aina hii maana kwa waliopitia maswala ya ulinzi haitaji kuuliza
Rais Magufuli alipokuwa anafungua kiwanda mjini Morogoro alipata nafasi ya pia ya kumpokea Mwanamuziki maarufu mjini hapo Afande Sele kutoka chama cha ACT na kujiunga na CCM.
Lakini wakati Afande Sele akishikana mkono na Rais Magufuli mkono mwingine ulishikwa na moja ya walinzi wa Rais....nini hasa kilipelekea mlinzi huyo kumshikana mkono mwingine Afande Sele?
Nashinda nae hapa kwake Zebra Moro muda mwingine anafanya mambo yaajabu sana hawa wasanii wanamaisha tofauti na usanii wao mkuuKwahiyo alitaka kuvua nguo hadharani.
in this world hatuwezi kufananaWenzetu mna raha mshahara unaingia kwa kuchat JF
Katika wale walioenda pale mbele yupi anaoneka muhuni na amepitia mafunzo ya uaskari, anahisiwa kutumia weed, ametoka upande hasimu wa kisiasa(kwamba inaweza kuwa janja tu apate nafasi ya kudhuru mheshimiwa), .....,Why Sele only?
Hichi kijembe aisee ni balaa !!! [emoji26] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Wenzetu mna raha mshahara unaingia kwa kuchat JF
Kiongozi...mjibu tuu aelewe...vijana wengi hawana uelewa simple tuu wa vitu rahisiProtocol gani unayoijua ya kiulinzi wewe? Watu wapo kazini we endelea kuchati Facebook, huyo ni mlinzi aliyeaminiwa kumlinda rais wewe unaleta thread jamiiforum kujadili kitendo kidogo namna hiyo? Bavicha wewe
Ulitaka mpaka rais apigwe kofi kama mzee mwiny ndo uelewe ?hakuna lolote basi tu ili mradi mlinzi naye aonekane anapiga kazi
Kwa hiyo mh. Rais alimpigia saluti mvuta ganja? [emoji4]Sele anakula sana ganja, ndo mana alishikwa kudhibitiwa hawakutaka genge la harufu ya bange lizagae pale meza kuu lingewachanganya waheshimiwa.
Wengine mshahara unaingia kwa kupasua kokoto.Wenzetu mna raha mshahara unaingia kwa kuchat JF
Sidhani kama alishikwa mkono kwasababu za kiusalama may be kulikuwa na jambo lingine kuhusu ule mkono.Kwa hili swali ulilouliza ,hukutakiwa kuleta hii mada jukwaa hili la Greatest Thinkers hapa JF.Jukwaa hili huwa tunaweka mada zenye uzito kuendana na Jukwaa.
Ungeuliza kuhusu salute aliyopiga Mh Rais ungekuwa sahihi kuleta humu.
Anyway I salute you!