Sijaelewa sababu ya mlinzi huyu kumshika mkono Afande Sele alipokuwa anasalimiana na Dr. Magufuli

Sijaelewa sababu ya mlinzi huyu kumshika mkono Afande Sele alipokuwa anasalimiana na Dr. Magufuli

Huwezi kuhoji wewe usiehusika na ulinzi, mwenzio yupo kazini, mambo mengine ni ya kuyaacha Kama yalivyo
Kama ni hivyo basi asingeruhusiwa kabisa kuliko kilichofanyika ki protocal hakifai kuonekana kabisa kitendo hicho mbele ya Rais duniani.
 
Kama ni hivyo basi asingeruhusiwa kabisa kuliko kilichofanyika ki protocal hakifai kuonekana kabisa kitendo hicho mbele ya Rais duniani.
Protocol gani unayoijua ya kiulinzi wewe? Watu wapo kazini we endelea kuchati Facebook, huyo ni mlinzi aliyeaminiwa kumlinda rais wewe unaleta thread jamiiforum kujadili kitendo kidogo namna hiyo? Bavicha wewe
 
Ni kwa sababu kabla hujamvuta wewe na kufanya lolote baya...

Unakua ushavutwa wewe zamani sana...

Cc: mahondaw
 
Protocol gani unayoijua ya kiulinzi wewe? Watu wapo kazini we endelea kuchati Facebook, huyo ni mlinzi aliyeaminiwa kumlinda rais wewe unaleta thread jamiiforum kujadili kitendo kidogo namna hiyo? Bavicha wewe
Kama alikuwa threat hakutakiwa hata kumsogelea Rais ...kuliko huko kumshika mkono mmoja.
 
Kwahiyo pale alitaka kufanya nini huyo Afande Sele
hatuwezi kujua kile ambacho akili Yke ilikuwa imemtuma""lakini kwa kuwa huyo jasusi anaweledi wakuyaona mambo zaidi ya raia wa kawaida nadhani kuna kitu alikuwa amekihisi tu "" na kuhisi jambo sio lazima liwe "" Bali nihali Fulani ambayo ipo kwaajili yakumpatia mtu tahadhari
 
huyo ni usalama mkuu na ana sheria zake zinamuongoza kufanya kazi zake..

usije kushangaa hata vitani ukaona askari wanatembea kama mateja huku bega moja wakitanguliza mbele,yani wanatembea upande upande kama mazombi,usije jua hawajiamini na ukaanza kuhoji,bali hizo ni sheria zao wenyewe lakini kwa wewe na mimi tunaona upuuzi.

mambo ya kiusalama tuyaache
 
Sele anakula sana ganja, ndo mana alishikwa kudhibitiwa hawakutaka genge la harufu ya bange lizagae pale meza kuu lingewachanganya waheshimiwa.
 
Kuna mambo ya msingi ya kuliza lakini siyo hili

Kwahiyo hujui sababu za huyo mlinzi kumzuia?

Elimu ya Tanzania kweli magumashi...

[emoji23][emoji23][emoji23] halafu ndio wengi wao wana-hype maandamano
 
huyo ni usalama mkuu na ana sheria zake zinamuongoza kufanya kazi zake..

usije kushangaa hata vitani ukaona askari wanatembea kama mateja huku bega moja wakitanguliza mbele,yani wanatembea upande upande kama mazombi,usije jua hawajiamini na ukaanza kuhoji,bali hizo ni sheria zao wenyewe lakini kwa wewe na mimi tunaona upuuzi.

mambo ya kiusalama tuyaache
Swali la msingi Afande Sele alitaka kufanya nini au kulikuwa na ishara gani mpaka ashikwe mkono mmoja.
 
wewe si ndio huyo jamaa aliyemshika mkono Afande Sele? Halafu unatuuliza sisi? Hii ndio Tanzania ya viwanda
Acha utani katika issue serious kwa usalama wa Rais na Mkuu wa nchi.
 
Afande Sele alionyesha threat yoyote?

Inasemekana kila atakachofanya president kinakuwa kwenye ratiba, na kusalimiana na Afande sele haikuwemo kwenye ratiba, na hiyo inakuwa katika malengo ya ku-control mazingira ili kuhakikisha usalama.
 
Inasemekana kila atakachofanya president kinakuwa kwenye ratiba, na kusalimiana na Afande sele haikuwemo kwenye ratiba, na hiyo inakuwa katika malengo ya ku-control mazingira ili kuhakikisha usalama.
Kuna matukio mengi tu huwa hayapo katika ratiba na Rais huwa anayafanya na hakuna matukio kama hayo.
 
Back
Top Bottom