Wenzetu mna raha mshahara unaingia kwa kuchat JF
hakuna lolote basi tu ili mradi mlinzi naye aonekane anapiga kaziRais Magufuli alipokuwa anafungua kiwanda mjini Morogoro alipata nafasi ya pia ya kumpokea Mwanamuziki maarufu mjini hapo Afande Sele kutoka chama cha ACT na kujiunga na CCM.
Lakini wakati Afande Sele akishikana mkono na Rais Magufuli mkono mwingine ulishikwa na moja ya walinzi wa Rais....nini hasa kilipelekea mlinzi huyo kumshikana mkono mwingine Afande Sele?
Kuna kitu inaitwa potential threat, huwa sio necessary iwe real threatAfande Sele alionyesha threat yoyote?
hahaa...mkuu namimi nipatie hiyo connection"""Wenzetu mna raha mshahara unaingia kwa kuchat JF
Usimwamini kila mtu anayemsogelea raisRais Magufuli alipokuwa anafungua kiwanda mjini Morogoro alipata nafasi ya pia ya kumpokea Mwanamuziki maarufu mjini hapo Afande Sele kutoka chama cha ACT na kujiunga na CCM.
Lakini wakati Afande Sele akishikana mkono na Rais Magufuli mkono mwingine ulishikwa na moja ya walinzi wa Rais....nini hasa kilipelekea mlinzi huyo kumshikana mkono mwingine Afande Sele?