Sijadhihaki kazi yao hata mara moja....nimeuliza sababu gani zilimfanya huyo mlinzi kumshika mkono huyo kijana? hilo ndiyo swali langu na hakuna anayejibu zaidi ya kulaumu kama wewe....ni wachache wamesema labda mlinzi aliogopa kilichomtokea Mzee Mwinyi pale Diamond Jubilee