Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
Wewe ni mnafiki upo kutafta negativity tu za chadema. Wewe post zako zinaongeleaga tu chadema negatively.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hawajai mbona mzee ana wasiwasi sana[emoji1787][emoji1787]Sawa tunataka wajae sasa! Hoja mfu izi!
Leta picha za mafuriko dodoma mkuu tuoneCcm wananichekeshaga sometimes, utadhani ni Mwanamke kisirani, ukiwaletea picha za watu wamejaa kwenye mkutano wanakwambia hao sio wapiga kura, ukileta picha za kubumba zinazoonyesha hakuna watu wanakwambia kuna tatizo, Chadema haikubaliki...... "Enyi Wagalatia msio na akili, nani kawaroga??"
ila umefurahishwa na huyu???
Kamanda ni bora umeliona hili, kwa hiyo sasa hivi chama kinatakiwa kufanya juu chini kuhamasisha sana watu wajitokeze kwenye mikutano na hiyo tareh 28Hizo ni ngome za Magufuri! Labda ambao wameshangaza ni Mwanza.
Kingine ambacho naona wananchi wameanza kukiona, matumaini ya kushinda CHADEMA hayapo kabisa.Na uko uwezekano Wapiga kura wengi wasijititokeze 28.10.2020.
Ili useme kuwa hao sio Wapiga kura??Leta picha za mafuriko dodoma mkuu tuone
Ndio furaha yakoNilianza kushtuka baada ya kuona page karibu nyingi za chama na viongozi hakuna picha za leo dodoma. Nilishtuka, kumbe watu hakuna
hali ilivyo na kama muonavyo kule juu inasakwa picha ya nyomiView attachment 1558340
Magufuli haaminiki...ni muongo muongo tuHapana na ndio maana sifutatilii kampeni za ccm
Jpm hana wasiwasi wewe! Ndo mana alimuambia atampa kazi kwa sababu hatoshinda! [emoji38]Kama hawajai mbona mzee ana wasiwasi sana[emoji1787][emoji1787]
Anayekupenda atakuambia ukweli.Wewe ni mnafiki upo kutafta negativity tu za chadema. Wewe post zako zinaongeleaga tu chadema negatively.View attachment 1558341
Nimeshtushwa sana na ukimya wa viongozi wa chama pamoja na page za chama siku ya leo huko dodoma, hadi sasa hakuna aliyepist picha za mkutano. Hali ni mbayaLeta picha za mafuriko dodoma mkuu tuone
Bado sijapata jibu, inakuwaje kwa jiji kama dodoma na makao makuu ya nchi hakuna watu kwenye kampeni?tayari LISU ameanza kuongea na ameanza na suala la kupugwa risariView attachment 1558343
Hapana, ninakishauri chama kijikite zaidi kuhamasisha watu kujitokeza kwenye kampeni ili wasikie sera nzuri na wakawashawishi na wengineNdio furaha yako
Ushauri wa mchawi ?Hapana, ninakishauri chama kijikite zaidi kuhamasisha watu kujitokeza kwenye kampeni ili wasikie sera nzuri na wakawashawishi na wengine
Picha ni za sasa hivi, tizama jukwaa kuu tayari viongozi wote wapo hapoHizi picha unge sema ulizipiga saa ngapi. Zinge ondoa mashaka. Maana hivi sasa hamna mahali pa kuweka mguu.
Angalia za kwenu kule Bariadi. Watu ni wengi kama wale wa Joseph Selasini kule Rombo
Ona ulichoandika na kuposttayari LISU ameanza kuongea na ameanza na suala la kupugwa risariView attachment 1558343