Uchaguzi 2020 Sijafurahishwa na idadi ya watu waliojitokeza kwa Tundu Lissu kwa mikoa ya Shinyanga, Tabora na Dodoma

Uchaguzi 2020 Sijafurahishwa na idadi ya watu waliojitokeza kwa Tundu Lissu kwa mikoa ya Shinyanga, Tabora na Dodoma

Mbona hushangai idadi do good ya watu wa leo simiyu? Safari hii kutatokea maajabu
Kamanda hiyo simiyu huyu anapita tu, kafanya kampeni kila kona aliyopita kuelekea huko simiyu na baada ya simiyu kafanya bunda mjini pamoja na kiabakari.
Lakini pia hapo simiyu unaposema, watu walikuwa wengi tu tizama picha hapa chini
IMG_20200904_172231.jpg
IMG_20200904_172218.jpg
 
Wewe ni mmoja ya vijana walio tumwa mitandaoni
 
Ccm wananichekeshaga sometimes, utadhani ni Mwanamke kisirani, ukiwaletea picha za watu wamejaa kwenye mkutano wanakwambia hao sio wapiga kura, ukileta picha za kubumba zinazoonyesha hakuna watu wanakwambia kuna tatizo, Chadema haikubaliki...... "Enyi Wagalatia msio na akili, nani kawaroga??"
Hiyo picha aliyoleta moana kama imepigwa asubuhi hivi
 
Sioni Lisu akipata hata 27% aliyoipata Mrema 1995.
 
Nyie misukule ya lumumba hizi editing mtaacha lini?
Kamanda kwanza tunapoteza muda kumjadili mgombea ambae hatuhusu, pili tuache kujifananisha nae. Tunachopaswa ni kuangalia sisi kama sisi tuna-improve vipi kutoka hapa tulipo.
Video hizo hapo chini
 
Niwe muwazi mimi binafsi nina amini katika mabadiliko, mabadiliko ndiyo chachu ya maendeleo sehemu yoyote ile.

Nimeona na nimekuwa nikifatilia mikutano yote ya mgombea wetu hapa Dar na kuna afadhali kidogo japo mkutano wa segerea na kawe ulikuwa hauna watu sana, atleast kule Mbagala.

Naanza kupata picha, pengine kuna kitu hakipo sawa Chadema.

Tusi-conclude kuwa wanaoenda kwenye kampeni za CCM wanafata wasanii tu, hapana.

Ila kama wanafata wanancho wengi wanafata wasanii huko ccm basi sawa, ila pia basi kwa uwingi huohuo na kwa aina ya kukubalika kwa chama chetu basi walitakiwa pia wafate/waje kwa wingi kwenye kampeni zetu.

Kuna mikoa hadi sasa sinaelewa nini hasa kimetokea kutokana na uchache wa watu waliohudhuria tena kwenye viwanja vidogo sana ambavyo tumwchagua kufanyia kampeni.

Tuliona watu kule mwanza na tulifarijika sana na hilo na hadi tukatumia ndege nyuki (drones) kupiga picha za kampeni zetu. Ila baada ya hapo sikuona tena picha za juu (za drone) kwenye kampeni zetu.

Kilichotokea shinyanga, tabora na sasa dodoma ni aibu. Chama kitafute namna au kubadili mbinu ya kampeni ili tuweze kuvuta watu wengi waje kusikiliza sera.

Chini ni picha ya watu waliohudhuria kampeni hii leo huko Dodoma.


Wewe ni nani kwani?

Mimi nipo Tabora hivi ninavyopsti comment hii...

Jana nilikuwepo kwenye mkutano wa mgombea wa CHADEMA ndg Tundu Lissu mwanzo mwisho...

It was a clouded rally..

Mkutano ulifanyikia katika viwanja vya Chipukizi katikati ya mji wa Tabora nyuma ya makao makuu ya kanisa katoliki, Jimbo la Tabora...

Ulikuwa ni mkutano usio na wasanii wala burudani ya aina yoyote lakini umati wa watu uliohudhuria kwa hiari bila kushurutishwa ni balaa, ni wengi sana...!!

Tamaa na shauku yao ilikuwa ni kimsikia Rais wao mtarajiwa Mh. Tundu Lissu...

Na kwa kulitambua hilo, Tundu Lissu alikosha nyoyo za watu vilivyo...

Niliandika jana na leo naomba nirudie, kwamba;

Hoja ya CHATO INTERNATIONAL AIRPORT itamtesa sana Magufuli na wana CCM kuitetea...

Na kwa kuwa Tundu Lissu ana kipaji cha kufafanua na kuelezea jambo ktk lugha rahisi na kueleweka, hii iliwangia vyema wana Tabora na kuwajengea picha kuwa....

Bw. John Pombe Magufuli ni kiongozi mpuuzi, mbinafsi anayejijali yeye na tumbo lake tu, mroho na fisadi wa kutisha kuliko wenzake wote waliomtangulia yaani Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete...

Kwa sababu ktk akili ya kawaida ya mtu yeyote yule ni ngumu sana kudhani kuwa Rais anaweza kuamua kujijengea uwanja wa ndege kijijini nyumbañi kwake kwa kutumia mabilioni ya fedha kwa ajili yake mwenyewe na mama yake tu huku akiacha matatizo ya kawaida yenye kuhitaji rasrimali fedha kidogo tu kuyatatua....!!

Kwa habari ya "umati wa watu" Tabora na Shinyanga na hapa Tabora, haieleweki wewe umepata wapi hizi picha na lengo lako ni nini tu..

Nadhani umefanya hivi kujifariji kwa propaganda uchwara kabisa....

Kama unataka kujua umati uliohudhuria mkutano wa kampeni wa Tundu Lissu, Tabora basi unaweza kuwauliza polisi na wenye Magari....

Maana ulipoisha ile saa 12 jioni, ilibidi barabara kuu ya kutoka Nzega kuingia katikati mjini ifungwe kwa dakika kadhaa ili kuruhusu watu watawanyike kwa amani. Hii ilichukua takribani dakika 30 ndipo hali ya kawaida iliporejea...

Kwa wewe naweza kusema bila wasiwasi wowote kuwa you are pretty liar...!!
 
Hiyo picha aliyoleta moana kama imepigwa asubuhi hivi
Kamanda acha kuwa mvivu, kwanza ilibidi hadi sasa hivi kuwepo picha za eneo la tukio, lakikini hakuna.
Pili ilibidi zipigwe picha za juu na video clips lakini hadi sasa hakuna, unaelewa nini hadi hapo??
Tatu hebu angalia vizuri hapo jukaa kuu viongozi wote wapo, sasa kama viongozi nao walikuja asubuhi, hii yako.
Angalia vizuri kwenye jukwaa kuu
tapatalk_1599228135387.jpg
 
Chadema watumie sana vituo vya tv kutoa sera mahojiano ya lisu yaliyooneshwa Jana yameleta matokeo makubwa sana tofauti na sasa kwa tume tuliyonayo watu wanakata tamaa hata kujitokeza
 
Ccm wananichekeshaga sometimes, utadhani ni Mwanamke kisirani, ukiwaletea picha za watu wamejaa kwenye mkutano wanakwambia hao sio wapiga kura, ukileta picha za kubumba zinazoonyesha hakuna watu wanakwambia kuna tatizo, Chadema haikubaliki...... "Enyi Wagalatia msio na akili, nani kawaroga??"
[emoji116]
 
Wewe ni nani kwani?

Mimi nipo Tabora hivi ninavyopsti comment hii...

Jana nilikuwepo kwenye mkutano wa mgombea wa CHADEMA ndg Tundu Lissu mwanzo mwisho...

It was a clouded rally..

Mkutano ulifanyikia katika viwanja vya Chipukizi katikati ya mji wa Tabora nyuma ya makao makuu ya kanisa katoliki, Jimbo la Tabora...

Ulikuwa ni mkutano usio na wasanii wala burudani ya aina yoyote lakini umati wa watu uliohudhuria kwa hiari bila kushurutishwa ni balaa, ni wengi sana...!!

Tamaa na shauku yao ilikuwa ni kimsikia Rais wao mtarajiwa Mh. Tundu Lissu...

Na kwa kulitambua hilo, Tundu Lissu alikosha nyoyo za watu vilivyo...

Niliandika jana na leo naomba nirudie, kwamba;

Hoja ya CHATO INTERNATIONAL AIRPORT itamtesa sana Magufuli na wana CCM kuitetea...

Na kwa kuwa Tundu Lissu ana kipaji cha kufafanua na kuelezea jambo ktk lugha rahisi na kueleweka, hii iliwangia vyema wana Tabora na kuwajengea picha kuwa....

Bw. John Pombe Magufuli ni kiongozi mpuuzi, mbinafsi anayejijali yeye na tumbo lake tu, mroho na fisadi wa kutisha kuliko wenzake wote waliomtangulia yaani Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete...

Kwa sababu ktk akili ya kawaida ya mtu yeyote yule ni ngumu sana kudhani kuwa Rais anaweza kuamua kujijengea uwanja wa ndege kijijini nyumbañi kwake kwa kutumia mabilioni ya fedha kwa ajili yake mwenyewe na mama yake tu huku akiacha matatizo ya kawaida yenye kuhitaji rasrimali fedha kidogo tu kuyatatua....!!

Kwa habari ya "umati wa watu" Tabora na Shinyanga na hapa Tabora, haieleweki wewe umepata wapi hizi picha na lengo lako ni nini tu..

Nadhani umefanya hivi kujifariji kwa propaganda uchwara kabisa....

Kama unataka kujua umati uliohudhuria mkutano wa kampeni wa Tundu Lissu, Tabora basi unaweza kuwauliza polisi na wenye Magari....

Maana ulipoisha ile saa 12 jioni, ilibidi barabara kuu ya kutoka Nzega kuingia katikati mjini ifungwe kwa dakika kadhaa ili kuruhusu watu watawanyike kwa amani. Hii ilichukua takribani dakika 30 ndipo hali ya kawaida iliporejea...

Kwa wewe naweza kusema bila wasiwasi wowote kuwa you are pretty liar...!!
Kamanda punguza jazba, tatzo mnaongea maneno matupu. Jiulize swali rahisi sana, siku ya mkutano wa kampeni kule mwanza viongozi wengi walipost picha na video clips nyingi sana, kila ulipopita unaona wanaonyesha kilichotokea mwanza.
Na hadi picha za juu(za drones) kwa mwanza tuliziona nyingi sana.
Sasa jiulize, kimetokea nini huko shinyanga na tabora tusione picha nyingi za juu na videos clips?
Ila punguza munkari, tunajenga nyumba moja
 
Chadema watumie sana vituo vya tv kutoa sera mahojiano ya lisu yaliyooneshwa Jana yameleta matokeo makubwa sana tofauti na sasa kwa tume tuliyonayo watu wanakata tamaa hata kujitokeza
Huu ni ushauri ambao kila mwanachadema anatakiwa kuufanyia kazi, cha kushangaza watu hata hawastuki kuwa hali inakuwa mbaya siku hadi siku
 
Back
Top Bottom