Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
- Thread starter
- #41
Ushauri wa mchawi?? Tunawanga wote sio?Ushauri wa mchawi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushauri wa mchawi?? Tunawanga wote sio?Ushauri wa mchawi ?
Kamanda, tusifiche moshi utatuumbua. Ifanyike namna watu wahamasike waje kwenye kampeni zetuOna ulichoandika na kupost
Hizi picha zilipigwa wakati watu wanaanza kuwasili uwanjaniCcm wananichekeshaga sometimes, utadhani ni Mwanamke kisirani, ukiwaletea picha za watu wamejaa kwenye mkutano wanakwambia hao sio wapiga kura, ukileta picha za kubumba zinazoonyesha hakuna watu wanakwambia kuna tatizo, Chadema haikubaliki...... "Enyi Wagalatia msio na akili, nani kawaroga??"
Hahahaha kama kuna mtu mchawi basi ni weweKamanda, tusifiche moshi utatuumbua. Ifanyike namna watu wahamasike waje kwenye kampeni zetu
Hahahaha CCM utawaweza Dada? Wana propaganda za kitoto hadi unnacheka tu sometimesHizi picha zilipigwa wakati watu wanaanza kuwasili uwanjani
Mm sio ccm, mimi tofauti na nyie ni kuwa mimi sifuati upepoLakini wewe si ni CCM kindakindaki?
Tabora na Shinyanga hali ilikuwa nzuri sana kwa Lissu
Mkuu, haukumsikia magu? Kwamba atampatia kazi mgombea x siyo lazima uwe raisi.Hizo ni ngome za Magufuri! Labda ambao wameshangaza ni Mwanza.
Kingine ambacho naona wananchi wameanza kukiona, matumaini ya kushinda CHADEMA hayapo kabisa.Na uko uwezekano Wapiga kura wengi wasijititokeze 28.10.2020.
Kamanda hakuna tunayemuongopea, picha ni za sasa hivi na ndio maana hata ukizoom hapo unaona jukwaa kuu lote kuna viongozi wamekaa.Hizi picha zilipigwa wakati watu wanaanza kuwasili uwanjani
Hahahahaha tulia wewe dawa iingie!Mm sio ccm, mimi tofauti na nyie ni kuwa mimi sifuati upepo
Tabora na shinyanga hali haikuwa nzuri na ndio maana hukuona picha ya juu hata moja.
Mwanza na arusha mambo yalikuwa vizuri na ndio maana kila kiongozi alipost videos na picha za huko.
Ila hii ya leo dom, ninakiomba chama kifanye namna maana kuna hatihati hali ikawa mbaya zaidi kwenye mikutano yetu
Naanza kupata mashaka huenda mgombea wetu anahujumiwa sehemu.Mkuu, haukumsikia magu? Kwamba atampatia kazi mgombea x siyo lazima uwe raisi.
Inaingiaje wakati tunajenga nyumba moja?Hahahahaha tulia wewe dawa iingie!
Pole kawatafute unaowanga nao huko mnakokutana. Ushindwe na ulegee.Ushauri wa mchawi?? Tunawanga wote sio?
Haya ndio mambo ambayo huwa natofautina na makamanda wenzangu, huyu ni kutodili nae tu, sisi kama chama tunatakiwa tujikite katika kuzidisha hamasa kwa wananchi kuliko kutafuta kosa kwenye kampeni za mgombea mwingineView attachment 1558375
Kumbe wakulima walipokwa pamba [emoji23][emoji23][emoji23]
AaghInaingiaje wakati tunajenga nyumba moja?
kule shinyanga kawatukana watu akiwa jukwaani, huyu jamaa sijui haziko sawa?Nyomi la Lissu hatari. Hakika atashinda kwa kishindo.