Uchaguzi 2020 Sijafurahishwa na idadi ya watu waliojitokeza kwa Tundu Lissu kwa mikoa ya Shinyanga, Tabora na Dodoma

Leta picha za mafuriko dodoma mkuu tuone
 
Hizo ni ngome za Magufuri! Labda ambao wameshangaza ni Mwanza.
Kingine ambacho naona wananchi wameanza kukiona, matumaini ya kushinda CHADEMA hayapo kabisa.Na uko uwezekano Wapiga kura wengi wasijititokeze 28.10.2020.
Kamanda ni bora umeliona hili, kwa hiyo sasa hivi chama kinatakiwa kufanya juu chini kuhamasisha sana watu wajitokeze kwenye mikutano na hiyo tareh 28
 
Hizi picha unge sema ulizipiga saa ngapi. Zinge ondoa mashaka. Maana hivi sasa hamna mahali pa kuweka mguu.
Angalia za kwenu kule Bariadi. Watu ni wengi kama wale wa Joseph Selasini kule Rombo
 
Wewe ni mnafiki upo kutafta negativity tu za chadema. Wewe post zako zinaongeleaga tu chadema negatively.View attachment 1558341
Anayekupenda atakuambia ukweli.
Ni bora mimi ninayesema kuwa chama kinatakiwa kifanya hamasa kubwa sasa hivi ili watu wengi wajitokeze waelewe sera na kukipigia kura tareh 28. Kuliko wewe ambae huoni tatizo lolote, unasubiri kuja kusema "tumeibiwa kura"
 
Leta picha za mafuriko dodoma mkuu tuone
Nimeshtushwa sana na ukimya wa viongozi wa chama pamoja na page za chama siku ya leo huko dodoma, hadi sasa hakuna aliyepist picha za mkutano. Hali ni mbaya
 
Chadema ni matapeli wa kisiasa.

Wataungaunga picha ili kuhadaa kuwa wanaungwa mkono
 
Hizi picha unge sema ulizipiga saa ngapi. Zinge ondoa mashaka. Maana hivi sasa hamna mahali pa kuweka mguu.
Angalia za kwenu kule Bariadi. Watu ni wengi kama wale wa Joseph Selasini kule Rombo
Picha ni za sasa hivi, tizama jukwaa kuu tayari viongozi wote wapo hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…