Sijafurahishwa na kitendo cha Paula Kajala

Sijafurahishwa na kitendo cha Paula Kajala

Binti ni mzuri kweli mimi kama mwanaume rijali nakubali hilo bila kupinga.

Lkn kitendo cha kupost picha zake yuko uchi hii ni kinyume na maadili yetu na tamaduni zetu watanzania.

Naomba mamlaka husika zikomeshe tabia hii maana ni indicator tosha kuwa tupo kwenye mmomonyoko mkubwa wa maadili na ni hatari sana kwa vizazi vijavyo

View attachment 2284738
Kapendeza maana nguo zilikuja baada ya mzungu kuzileta so hapo yupo kiafrika zaidi angevaa gome la mti ingekuwa poa
 
Kwani kapostiwa au kaposti mwenyewe?
Tuanzie hapo kwanza.
Anyway biashara ni matangazo
 
Binti ni mzuri kweli mimi kama mwanaume rijali nakubali hilo bila kupinga.

Lkn kitendo cha kupost picha zake yuko uchi hii ni kinyume na maadili yetu na tamaduni zetu watanzania.

Naomba mamlaka husika zikomeshe tabia hii maana ni indicator tosha kuwa tupo kwenye mmomonyoko mkubwa wa maadili na ni hatari sana kwa vizazi vijavyo

View attachment 2284738
Haya ndio mambo watanganyika yanawaumiza kichwa na kuwapotezea muda kuliko mambo ya msingi katika maisha yenu binafsi. Hapo ulipo ukute unakosa hata muda kusafisha uchafu unaokuzunguka upo busy with other's life... waafrika ni watu wa hovyo sana.
 
Haya ndio mambo watanganyika yanawaumiza kichwa na kuwapotezea muda kuliko mambo ya msingi katika maisha yenu binafsi. Hapo ulipo ukute unakosa hata muda kusafisha uchafu unaokuzunguka upo busy with other's life... waafrika ni watu wa hovyo sana.
Shetani amekuingilia mpendwa
 
Nadhani serikali yatakiwa ioneshe mfano kwa watu wachache tu, haja kamchezo katatulia
 
Unachokilalamikia wewe pia umekifanya tuache unafiki
 
Serikali ingeingilia kati suala la mavazi kwa wanawake ingekuwa poa sana, kuna huyu fahma aliepiga picha za birthday et kaficha na gazeti aiseew!dunia inakwenda pabaya.
 
achana na paja limemtoa roho mtoa uzi.


ila picha inanena kwa lugha na ukiambiwa utunge sentensi ata 20++ zitapatikana

1/ kupigia picha kwenye kiti huku kiko juu ya maji means ni malkia wa maj--
2/----------
3/-------------
4/--------
5/------



malizien sentens


NB. mtoa mada ndio maana kwenye mitandao kuna kublok, kuunfollo, ku uninstall na hata kuswitch off ua data ili hivi vitu usivione maisha ya mtandaoni ni uhuru mwingine kbs,,
 
Back
Top Bottom