Sijafurahishwa na kitendo cha Paula Kajala

Sijafurahishwa na kitendo cha Paula Kajala

Huyu dada bado nashangaa wale wahuni wenzake wanampa matangazo ya ule mchezo wa kitapeli
Mchezo gani huo boss?
 
Nyinyi wazee wa Buza mmeona bikini mnaita serikali. Kweli mnaishi mbali na ufukweni
 
Binti ni mzuri kweli mimi kama mwanaume rijali nakubali hilo bila kupinga.

Lkn kitendo cha kupost picha zake yuko uchi hii ni kinyume na maadili yetu na tamaduni zetu watanzania.

Naomba mamlaka husika zikomeshe tabia hii maana ni indicator tosha kuwa tupo kwenye mmomonyoko mkubwa wa maadili na ni hatari sana kwa vizazi vijavyo

View attachment 2284738
Uchi uko wapi mbona siuoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo yake muachie mwenyewe, yasikuumize kichwa...
 
Mkuu mbona hapo yupo kawaida sana? Ushawahi kutembea usiku au kuhudhuria sehemu za starehe hapo dar?
 
Binti ni mzuri kweli mimi kama mwanaume rijali nakubali hilo bila kupinga.

MWANAMKE KUITWA MZURI KWA PICHA ZA FILTER, NI MATUMIZI MABAYA YA KICHWA
 
Binti ni mzuri kweli mimi kama mwanaume rijali nakubali hilo bila kupinga.

Lkn kitendo cha kupost picha zake yuko uchi hii ni kinyume na maadili yetu na tamaduni zetu watanzania.

Naomba mamlaka husika zikomeshe tabia hii maana ni indicator tosha kuwa tupo kwenye mmomonyoko mkubwa wa maadili na ni hatari sana kwa vizazi vijavyo

View attachment 2284738
Watu wengine sasa hiyo picha ya uchi iko wapi?
 
Binti ni mzuri kweli mimi kama mwanaume rijali nakubali hilo bila kupinga.

Lkn kitendo cha kupost picha zake yuko uchi hii ni kinyume na maadili yetu na tamaduni zetu watanzania.

Naomba mamlaka husika zikomeshe tabia hii maana ni indicator tosha kuwa tupo kwenye mmomonyoko mkubwa wa maadili na ni hatari sana kwa vizazi vijavyo

View attachment 2284738
Mmh nadhani hujawahi kuona picha halisi za uchi.. Naona hapo alichopost ni mapaja wazi
 
Back
Top Bottom