Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Haujatosheka?π€π€π€πππSasa picha yenyewe mbona moja
Subiri amalize kuvuta bangi kwanza. Atatoa tamkoNasubir tamko toka kwa baba yake mzee Harmonize
Nyamirangano , Ushirombo ,GeitaMaganzo, Shinyanga
Huyu dada bado nashangaa wale wahuni wenzake wanampa matangazo ya ule mchezo wa kitapeliBinti ni mzuri kweli mimi kama mwanaume rijali nakubali hilo bila kupinga.
Lkn kitendo cha kupost picha zake yuko uchi hii ni kinyume na maadili yetu na tamaduni zetu watanzania.
Naomba mamlaka husika zikomeshe tabia hii maana ni indicator tosha kuwa tupo kwenye mmomonyoko mkubwa wa maadili na ni hatari sana kwa vizazi vijavyo
View attachment 2284738