Sijafurahishwa na usomaji magazeti wa Maulid Kitenge kuhusu Mo Dewji

Kitenge kujadili khanga sio ajabu...
 
Asante kwa komenti zenyu wasikilizaji hii inanyosha jinsi gani kipindi changu kinavyosikilizwa na watu wengi Wako katika ujenzi wa taifa:
CHUMVI
kumbuka ulivyomnanga Diamond kwenye msiba wa Ruge, alipoteremka na Mabodyguard lkn akazuiwa asiingie kuaga.
Leo kakuajiri licha kuwa alikupiga bifu kali km mtakutana, hatimaye ndiye anayekupa kula
Hata MO anaweza kukuajiri kinachozungumzwa hapa ni lugha staha, huyo unayemsema unaweza muomba kazi na hatakunyima
 
Lakini pia msomaji anasema Mo aliomba wamuue, swali limebaki utata nn alifanyiwa mpaka aombe kifo ?
Ukitafakari khanga na kifo unapata ukakasi sana wa yote yaliyotendeka.
Aroo..kwenye simu..ova
Nakupata..ova
Rabuda yaritaka yapewe pasiwedi za akaunti yakombe fedha..ova
Hapana hatujui sababu ni majitu yasiyojurikana..ova
Nasikia yanatisha sana kwa mateso kama alivyosema Roma..ova
Pengine ni kweri,Angaria rabuda yanadukua ata JF na simu yako..Ova
Sijui,tutaishije rabuda tuzime data..ova
Hapana, tutakuwa tumeyaogopa na kuyapa Ushindi..ova
Sawa siku nyingine..ova
Aroo, nazima redio..ova
Ova!
MAJITU YASIYOJULIKANA HAYAKUBALIKI KATIKA JAMII YA WATANZANIA.
 
Duh! Alivuliwa boksa, akavalishwa kanga tu... akaomba wamuue, wakamwambia nyamaza.... akarudishwa bila ya kuambiwa kwanini walimteka, tena bila kumuomba hata senti... watekaji hadi wakafanya hayo yote walikuwa na lengo gan? Napata ukakasi na hizi taarifa, ni ngumu kumeza kama kipolo cha Gongo.!
Mmh naungana na ma-great thinkers wenzangu kuwa huenda kilainishi kilifanya kazi yake ipasavyo...
 
Asee boss si mkweli,kuna muendelezo hapo inabidi atuandalie episode nyingine
 
mtekwaaji sikasema mwenyewe alivalishwa kanga sasa hapo kitenge anakosa gani angeongezea kwamba alivalisha na kitu kingine labda ingekuwa kasema uongo lakini kitenge kanuku maneno ya mtekwaji kama gazeti lilivyo nukuu
Alitaka aseme alivishwa kitenge.
 
Kwamba watekaji walimvua nguo Mo na kumvisha kanga? Mbona inanipa malue lue wakuu
 
NO si hivyo mnavyodhani na Maulid
 
huku ni kulazimishana kuishi vile mnataka (ndo mnaita kukua) wewe nani kawahi kukupangia ama kukupa waraka kwamba miaka hii unafaaa uishi hivi na miaka hii ishi hivi.

kama unashindwa tambua mtindo wa maisha u tofauti kati ya mtu n mtu nawe bado mtoto pia unaye jaribu kuishi kikubwa
 
MO marinda bye bye
 
Wahindi hiyo ndio michezo yao, muangalie Rhemtulla na Hasanali, sasa MO kajiongeza mwenyewe
Kwanini mwanaume uvuliwe nyuki zote na uvalishwe kanga? Hujui MO alikuwa ana tabia ya kutembea na mijimama mike ya wenyewe? Mpe pole na kuondokewa na Marinda
Hahahahhaahhaha unajua BOSS kaushangaza sana UMMA baada ya kuutangazia kuwa walimvua nguo, wakamvisha khanga.....hivi ndio vitu kina mkatoliki huwa hawasemi
 
Alivuliwa nguo ili wamuangalie kama alikuwa na tracking device yeyote....pia kama walimvua basi walimpiga picha za utupu na wakazihifadhi kwenye flash.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…