MBOPOLI
Senior Member
- Aug 12, 2015
- 160
- 27
SHIKAMOOO DAKITARI..mimi kwa muda mrefu karibu wiki 2 sasa nakunya kinyesi cha kijani tu,wakati mimi nimezoea kujisaidia cha njano hata wewe nafikiri utakua unakunya cha njano,,je hapo nini tatizo..msaada wako tafadhali maana nakata tamaa nimekimic kinyesi cha njano.asante