mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
umeshawahi kufikiria labda unaboa, huwezi mazungumzo ya kawaida?Hi, ninavomaanisha platonic female friends namaanisha marafiki wa kike ambao sijawahi kuwatongoza, sijawahi kutembea nao, na sina mpango wa kuja kuwatongoza au kutembea nao.
Niko hapa rafikiHi, ninavomaanisha platonic female friends namaanisha marafiki wa kike ambao sijawahi kuwatongoza, sijawahi kutembea nao, na sina mpango wa kuja kuwatongoza au kutembea nao.
Utakuta nakutana na mdada naipenda personality yake, nachukua namba yake, naamua kumfanya rafiki wa jinsia tofauti kwa ajili ya kubadilishana mawazo ya hapa na pale, mara nyingi tukichat na ku-interact baada ya miezi 4, mdada anaishia kunipotezea, au kufuta namba yangu, ilhali sijamkwaza, hajanikwaza, na hatujawahi gombana, na wala kipindi chote hicho sijawahi mtongoza hata chembe.
Mlio na marafiki wa kike, urafiki wenu ukakuwa hadi mkawa kama dada na kaka/ndugu, hao marafiki mnawapataje?
Inaonekana hao huanza kwa kukuona una potential ya kuwa mchuchu, halafu kadiri unavyoonesha huna interest hiyo, nao wanapoteza interest.Hi, ninavomaanisha platonic female friends namaanisha marafiki wa kike ambao sijawahi kuwatongoza, sijawahi kutembea nao, na sina mpango wa kuja kuwatongoza au kutembea nao.
Utakuta nakutana na mdada naipenda personality yake, nachukua namba yake, naamua kumfanya rafiki wa jinsia tofauti kwa ajili ya kubadilishana mawazo ya hapa na pale, mara nyingi tukichat na ku-interact baada ya miezi 4, mdada anaishia kunipotezea, au kufuta namba yangu, ilhali sijamkwaza, hajanikwaza, na hatujawahi gombana, na wala kipindi chote hicho sijawahi mtongoza hata chembe.
Mlio na marafiki wa kike, urafiki wenu ukakuwa hadi mkawa kama dada na kaka/ndugu, hao marafiki mnawapataje?
Huwa unahakikisha kuna vitu mnavyo in common lakini???Hi, ninavomaanisha platonic female friends namaanisha marafiki wa kike ambao sijawahi kuwatongoza, sijawahi kutembea nao, na sina mpango wa kuja kuwatongoza au kutembea nao.
Utakuta nakutana na mdada naipenda personality yake, nachukua namba yake, naamua kumfanya rafiki wa jinsia tofauti kwa ajili ya kubadilishana mawazo ya hapa na pale, mara nyingi tukichat na ku-interact baada ya miezi 4, mdada anaishia kunipotezea, au kufuta namba yangu, ilhali sijamkwaza, hajanikwaza, na hatujawahi gombana, na wala kipindi chote hicho sijawahi mtongoza hata chembe.
Mlio na marafiki wa kike, urafiki wenu ukakuwa hadi mkawa kama dada na kaka/ndugu, hao marafiki mnawapataje?
Waeleze hao wajue kuwa inawezekan kabisa demu na dume kuwa marafiki na wasilane ila lazima hapo demu awe ng'ong'ozo 🤣🤣🤣🤣
Chai hii kumamake 😂Mimi ni keyboard warrior ila face to face Mimi ni introvert/ mkimya Evelyn Salt
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmh!! Hi nchi yetu wengi bado tuko primitive in mind, hamna urafiki wa kike na mme, bila kuwaza ngono au kuomba pesa......hayo mawazo yako yarudishe ulaya uko hapa haiwezekani, kama yupo ni suala la mda hatujui kilinda urafiki bila hisia za ngono au kuomba pesa, ata ukisema umfanya mtu mzima arika la mama ako awe mshauri na rafiki yako, mwishowe ataanza kukutumia vi sms nimekumiss rafiki. Babie uko wapi, niko bored sana leo njoo home, naomba sh 10,000 nk
Urafikii upoo bhana.Hakuna urafiki kati ya Me na Ke. Ukiona kuna urafiki basi tambua kuwa punde si punde kuna tukio la kula kimasihara litatokea.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Niruhusu niwe rafiki yako Mkuu 😋Urafikii upoo bhana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikisomaga maandishi yako nahisi we ni mtu unaongea sana yani unauperepetaa ukikutana na mimi ntakudelete pia.....sipendi mtu anaeongea sana naboreka nae mapema.
Prove me wrong.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Okay katika huo ukimya wako.....I guess kuna namna you are not treating well hao marafiki zako wa kike.
Nnavojua mie expections za wadada, we ni rafiki we chat nakueleza yangu unaniambia yako, nikiishiwa bando i expect sometimes unirecharge, hapa na pale nmekwama uniboost, hivyo yani unafanyaga??
Kama unafanya hayo na wanakimbia achana nao punda hao njoo uwe rafiki angu mwaya.
Nimechekaa had bas. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe wenzio walipokua wanacheza na wasichana ulijidai nunda eti huongei na madem, unakaa backbenchs na mnakaa midume tupu eti hamtaki kukaa na dem.
Umefika advance ukapiga pcm, eti msuli kufa ukasoma madem huzingatii.
Uko chuo ukafocus na gpa tu.
Kazini nako unakaza fuvu eti ww ni kazi tu habari za wanawake hutaki.
Sasa unadhani marafiki utawapata wapi??
Mpaka muwe marafiki ni mpaka akuamini, ni mpaka muwe na bond.
Hapana ninao tayarii.Niruhusu niwe rafiki yako Mkuu [emoji39]
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Basi ulichosema ni Uongo Mkuu.Hapana ninao tayarii.
Nilichosema ni kwelii.Basi ulichosema ni Uongo Mkuu.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Una Bond na Mademu/Wake za watu Mkuu?Wewe wenzio walipokua wanacheza na wasichana ulijidai nunda eti huongei na madem, unakaa backbenchs na mnakaa midume tupu eti hamtaki kukaa na dem.
Umefika advance ukapiga pcm, eti msuli kufa ukasoma madem huzingatii.
Uko chuo ukafocus na gpa tu.
Kazini nako unakaza fuvu eti ww ni kazi tu habari za wanawake hutaki.
Sasa unadhani marafiki utawapata wapi??
Mpaka muwe marafiki ni mpaka akuamini, ni mpaka muwe na bond.