Mjanja M1
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 4,058
- 14,382
HayaNilichosema ni kwelii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HayaNilichosema ni kwelii.
Huu ndio ukweli tunapaswa kuambizana. Interaction yoyote ile kati ya mwanaume na mwanamke ambao sio ndungu inapaswa kuwa na lengo moja tuu....kugegedana basi.Mmh!! Hi nchi yetu wengi bado tuko primitive in mind, hamna urafiki wa kike na mme, bila kuwaza ngono au kuomba pesa......hayo mawazo yako yarudishe ulaya uko hapa haiwezekani, kama yupo ni suala la mda hatujui kilinda urafiki bila hisia za ngono au kuomba pesa, ata ukisema umfanya mtu mzima arika la mama ako awe mshauri na rafiki yako, mwishowe ataanza kukutumia vi sms nimekumiss rafiki. Babie uko wapi, niko bored sana leo njoo home, naomba sh 10,000 nk
Urafiki upo japo si mwingi ila upoHakuna urafiki kati ya Me na Ke. Ukiona kuna urafiki basi tambua kuwa punde si punde kuna tukio la kula kimasihara litatokea.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
😂😂we sio mwema bhana usidanganye😂🏃🏿Unawachukulia nini tuanze hapo ukiwa mkweli nitakuwa rafiki yako ila sintokubaka mie ni mwema
Sijui wana kwama wapi[emoji23],Waeleze hao wajue kuwa inawezekan kabisa demu na dume kuwa marafiki na wasilane ila lazima hapo demu awe ng'ong'ozo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tatizo wao wanawaza ngono tuu shida ipo hapo. Vijana wa siku hizi hovyo sana 🤣🤣🤣🤣Sijui wana kwama wapi[emoji23],
Sema kujiendekeza tu.
Hi, ninavomaanisha platonic female friends namaanisha marafiki wa kike ambao sijawahi kuwatongoza, sijawahi kutembea nao, na sina mpango wa kuja kuwatongoza au kutembea nao.
Utakuta nakutana na mdada naipenda personality yake, nachukua namba yake, naamua kumfanya rafiki wa jinsia tofauti kwa ajili ya kubadilishana mawazo ya hapa na pale, mara nyingi tukichat na ku-interact baada ya miezi 4, mdada anaishia kunipotezea, au kufuta namba yangu, ilhali sijamkwaza, hajanikwaza, na hatujawahi gombana, na wala kipindi chote hicho sijawahi mtongoza hata chembe.
Mlio na marafiki wa kike, urafiki wenu ukakuwa hadi mkawa kama dada na kaka/ndugu, hao marafiki mnawapataje?
Kama namtaka mwanamke namwambia mapema Sina haja ya kuanzia kwenye urafiki, utakuta mdada sijavutiwa nae kimapenzi, ila ana personality nzuri ZemandaHebu acha wizi wizi bro. Yaani mwanamke akatae urafiki na wewe shida ni nini? Labda unawawekea mtego ndio maana wanakushtukia.
Kwanza wewe mwanaume urafiki na wanawake wa kazi gani kwa faida gani?
Kuna umri ukifika mwanamke hawezi kuwa rafiki yako kwa muda mrefu lazima awe na position ya kudumu kama shemeji yaani mke wa kaka au mke wa mshikaji wako, awe mke wa Ndoa, nyumba ndogo au mama watoto.
So jiulize mara mbili mbili inakuwaje wewe utake urafiki na wanawake na ni mtu mzima?
Yaani,baada wawaze kulimo kwanza,wanawaza ngono,Tatizo wao wanawaza ngono tuu shida ipo hapo. Vijana wa siku hizi hovyo sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wao wakiona tako skonsi basi akili zote zinahamia kichwa cha chini.Yaani,baada wawaze kulimo kwanza,wanawaza ngono,
Njoo kwanza best yangu unisaidie kulima.
Vijana wa hovyo,Wao wakiona tako skonsi basi akili zote zinahamia kichwa cha chini.
Nakuja besty maana mali utaipata shambani
Hao marafiki mbona wapo wengi tu humu JF? Bandiko tangazo utawapata mkuu.Hi, ninavomaanisha platonic female friends namaanisha marafiki wa kike ambao sijawahi kuwatongoza, sijawahi kutembea nao, na sina mpango wa kuja kuwatongoza au kutembea nao.
Utakuta nakutana na mdada naipenda personality yake, nachukua namba yake, naamua kumfanya rafiki wa jinsia tofauti kwa ajili ya kubadilishana mawazo ya hapa na pale, mara nyingi tukichat na ku-interact baada ya miezi 4, mdada anaishia kunipotezea, au kufuta namba yangu, ilhali sijamkwaza, hajanikwaza, na hatujawahi gombana, na wala kipindi chote hicho sijawahi mtongoza hata chembe.
Mlio na marafiki wa kike, urafiki wenu ukakuwa hadi mkawa kama dada na kaka/ndugu, hao marafiki mnawapataje?
Wake za watu hawana marafiki wa kiume?Una Bond na Mademu/Wake za watu Mkuu?
ANGALIA! USIJEKUSEMA KUSEMA SIJAKWAMBIA.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Hi, ninavomaanisha platonic female friends namaanisha marafiki wa kike ambao sijawahi kuwatongoza, sijawahi kutembea nao, na sina mpango wa kuja kuwatongoza au kutembea nao.
Utakuta nakutana na mdada naipenda personality yake, nachukua namba yake, naamua kumfanya rafiki wa jinsia tofauti kwa ajili ya kubadilishana mawazo ya hapa na pale, mara nyingi tukichat na ku-interact baada ya miezi 4, mdada anaishia kunipotezea, au kufuta namba yangu, ilhali sijamkwaza, hajanikwaza, na hatujawahi gombana, na wala kipindi chote hicho sijawahi mtongoza hata chembe.
Mlio na marafiki wa kike, urafiki wenu ukakuwa hadi mkawa kama dada na kaka/ndugu, hao marafiki mnawapataje?
FactMmh!! Hi nchi yetu wengi bado tuko primitive in mind, hamna urafiki wa kike na mme, bila kuwaza ngono au kuomba pesa......hayo mawazo yako yarudishe ulaya uko hapa haiwezekani, kama yupo ni suala la mda hatujui kilinda urafiki bila hisia za ngono au kuomba pesa, ata ukisema umfanya mtu mzima arika la mama ako awe mshauri na rafiki yako, mwishowe ataanza kukutumia vi sms nimekumiss rafiki. Babie uko wapi, niko bored sana leo njoo home, naomba sh 10,000 nk
Matarajio ya ke wengi ukichukua namba anasubiria mtongozoHi, ninavomaanisha platonic female friends namaanisha marafiki wa kike ambao sijawahi kuwatongoza, sijawahi kutembea nao, na sina mpango wa kuja kuwatongoza au kutembea nao.
Utakuta nakutana na mdada naipenda personality yake, nachukua namba yake, naamua kumfanya rafiki wa jinsia tofauti kwa ajili ya kubadilishana mawazo ya hapa na pale, mara nyingi tukichat na ku-interact baada ya miezi 4, mdada anaishia kunipotezea, au kufuta namba yangu, ilhali sijamkwaza, hajanikwaza, na hatujawahi gombana, na wala kipindi chote hicho sijawahi mtongoza hata chembe.
Mlio na marafiki wa kike, urafiki wenu ukakuwa hadi mkawa kama dada na kaka/ndugu, hao marafiki mnawapataje?