Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Siku hizi yuko busy kututaarifu vitu anavyifaa vina thamani gani.
Unaweza kudhani hiku kiatu cha kawaida, hiki kiatu nimekinunua dollar 1500 na hapa tz zililetwa pair 3 tu.
Hizo ndizo mambo zake siku hizi ana mambo kama za akina dogo janja na rayvany
Anapiga hela ya balozi wa marekani kilaini. Ngojea utamuona akitinga tena ubalozini kutumwa mission za uncle Sam.Mpo salama!
Kama utafuatilia mikutano na mambo ya CHADEMA utagundua kuwa Sugu ushawishi wake umeshuka Sana.
Yaani akiwepo sehemu ni kama hayupo hivi. Yaani huwezi kujua yupo au hayupo.
Hakuna anayemzingatia Sana Wala Waandishi wa habari na wachukua kamera hawana habari naye.
Na ukimwon labda kwenye picha Fulani ujue yupo kimakosa na mchukua kamera hakuwa amemlenga kumchukua Yeye.
Huko Mbeya ni wazi hawezi kutoboa kwa Tulia.
Sijajua nini kimeshusha ushawishi wa Sugu, Tulia naona anapepea tuu
Haya.
Uncle sam hawez kukutuma kwenye mission zake halafu akajiweka mbele ya umma kuwa wewe mshikaji wake maana utashtukiwa.Anapiga hela ya balozi wa marekani kilaini. Ngojea utamuona akitinga tena ubalozini kutumwa mission za uncle Sam.
ni kama kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi tu asivyoaminika kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa πMpo salama!
Kama utafuatilia mikutano na mambo ya CHADEMA utagundua kuwa Sugu ushawishi wake umeshuka Sana.
Yaani akiwepo sehemu ni kama hayupo hivi. Yaani huwezi kujua yupo au hayupo.
Hakuna anayemzingatia Sana Wala Waandishi wa habari na wachukua kamera hawana habari naye.
Na ukimwon labda kwenye picha Fulani ujue yupo kimakosa na mchukua kamera hakuwa amemlenga kumchukua Yeye.
Huko Mbeya ni wazi hawezi kutoboa kwa Tulia.
Sijajua nini kimeshusha ushawishi wa Sugu, Tulia naona anapepea tuu
Haya.
Dogo,ni kama kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi tu asivyoaminika kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa π
mtu muerevu na makini anajieleza kwa wadau ambacho ni cha ukweli kinyume na maelezo mahususi, sio kubabaika na ngojera na mipasho tu gentleman π
Ushamba flani wakati ni mtu mzima angekua kama Lugumi sijui ingekuajeSiku hizi yuko busy kututaarifu vitu anavyovaa vina thamani gani.
Unaweza kudhani hiki kiatu cha kawaida, hiki kiatu nimekinunua dollar 1500 na hapa tz zililetwa pair 3 tu.
Hizo ndizo mambo zake siku hizi ana mambo kama za akina dogo janja na rayvany