Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
laana ya kumhujumu yule mchungaji itammaliza. atubu tu na kuungama hamna namna. Alimsababisha mchungaji wa watu akajiaibishe sana mara kubebeshwa hadharani picha ya mama! akawa anaongea barabarani kama mwehu Msigwa wa watu!Nafsi itakuwa inamsuta..AIBU