Sijajua nini kimeshusha ushawishi wa Sugu? Amekuwa kama underground fulani hivi

Sijajua nini kimeshusha ushawishi wa Sugu? Amekuwa kama underground fulani hivi

Nafsi itakuwa inamsuta..AIBU
laana ya kumhujumu yule mchungaji itammaliza. atubu tu na kuungama hamna namna. Alimsababisha mchungaji wa watu akajiaibishe sana mara kubebeshwa hadharani picha ya mama! akawa anaongea barabarani kama mwehu Msigwa wa watu!
 
Mpo salama!

Kama utafuatilia mikutano na mambo ya CHADEMA utagundua kuwa Sugu ushawishi wake umeshuka Sana.
Yaani akiwepo sehemu ni kama hayupo hivi. Yaani huwezi kujua yupo au hayupo.

Hakuna anayemzingatia Sana Wala Waandishi wa habari na wachukua kamera hawana habari naye.
Na ukimwon labda kwenye picha Fulani ujue yupo kimakosa na mchukua kamera hakuwa amemlenga kumchukua Yeye.

Huko Mbeya ni wazi hawezi kutoboa kwa Tulia.

Sijajua nini kimeshusha ushawishi wa Sugu, Tulia naona anapepea tuu

Haya.
Sugu wmelamba asili mkuu
 
Mpo salama!

Kama utafuatilia mikutano na mambo ya CHADEMA utagundua kuwa Sugu ushawishi wake umeshuka Sana.
Yaani akiwepo sehemu ni kama hayupo hivi. Yaani huwezi kujua yupo au hayupo.

Hakuna anayemzingatia Sana Wala Waandishi wa habari na wachukua kamera hawana habari naye.
Na ukimwon labda kwenye picha Fulani ujue yupo kimakosa na mchukua kamera hakuwa amemlenga kumchukua Yeye.

Huko Mbeya ni wazi hawezi kutoboa kwa Tulia.

Sijajua nini kimeshusha ushawishi wa Sugu, Tulia naona anapepea tuu

Haya.
elimu elimu elimu. Mr. II hana kisomo, tafuta elimu angalia usimwache akaenda zake
 
Mpo salama!

Kama utafuatilia mikutano na mambo ya CHADEMA utagundua kuwa Sugu ushawishi wake umeshuka Sana.
Yaani akiwepo sehemu ni kama hayupo hivi. Yaani huwezi kujua yupo au hayupo.

Hakuna anayemzingatia Sana Wala Waandishi wa habari na wachukua kamera hawana habari naye.
Na ukimwon labda kwenye picha Fulani ujue yupo kimakosa na mchukua kamera hakuwa amemlenga kumchukua Yeye.

Huko Mbeya ni wazi hawezi kutoboa kwa Tulia.

Sijajua nini kimeshusha ushawishi wa Sugu, Tulia naona anapepea tuu

Haya.
Uchawa ni kitu kibaya. Wana Mbeya hawamtaki MBOWE, chaguo Lao ni Tundu Lissu. Sugu ni CHAWA wa MBOWE
 
Hatari Sana MKUU.
Sugu yupo Dilemma.
Anashindwa kutoa Msimamo kuwa yupo upande gani! Ingawaje kuna kila dalili yupo upande wa Mwenyekiti Mbowe.

Mbaya zaidi anachohofia ni kuonekana Miaka yote mapambano Yake yalikuwa Bandia. Na hiyo itamfanya aongezeke kwenye orodha ya viongozi wanafiki waliowahi kutokea Tanzania.

Ni Kheri ujulikane tokea mwanzo wewe ni Mchumia tumbo, watu wakuponda tokea mwanzo lakini watakuheshimu kuliko kuwa Mnafiki
Halafu ujue Sugu na Msigwa walikuwa ni washkaji sana. Kwa yeye haikuwa rahisi kugombea wote pale Nyasa, ila kwa shinikizo la Mwenyekiti anaingia vitani.

Ova
 
Sijawahi shikiwa akili Wala kuwa shabiki wa watu wapuuzi.

Mfano yaani Mimi nishabikie kibaraka kama Lisu? Naanzia wapi? Achilia mbali huyo Sugu alishaishiwa kitambo,miaka 10 hakuna Cha maana amefanya Mbeya .

Toka Mbeya imeanza ,Mbunge wa uhakika ni Tulia Rais wa Mabunge Duniani na Spika wa Tanzania
Huyo Tulia kafanya nini!? Mtu mzima kuwa chawa ni dalili ya ush*ger
Tafuta pesa uwe na msimamo
 
Ndio naweza.
1.Alikimbia Nchi Kwa visingizio kibao
2.Familia yake inaishi huko huko Ulaya
3.Hajawahi kemea ushoga Hadharani
4.Hana shughuli rasmi ya kumuingizia kipato ila anapata Fedha Kwa mabwana wake
5.Huwa anapinga Kila kitu Cha Tanzania licha ya kutumia
6.Huwa anaichafua na kusema vibaya Tanzania akiwa huko Kwa wanaomlisha.

Niongeze?
We ni mkewe mpaka ujue kuwa hana shughuli ya kumuingizia kipato!?
Nipe Clip ya mwenyekiti wako akikemea ushoga hadharani au tamko rasmi la serikali kukemea ushoga.
 
Achaneni na kibaraka sio tuu kwamba mnapoteza mda ila kamwe hatokuja kuwa Rais wa [emoji1241]
Hakika hautaion hiyo siku ambayo Lissu atakuwa Rais wa nchi hii maana hautakuwepo kama wale waliokusudia kumdhulumu uhai wake kisha wakatangulia wao!
 
Kwa hiyo na wewe unaweza shawishiwa na mtu kama Sugu?

Babu akalee wajukuu.
Kama unamuona Sugu ni babu utakuwa mtoto wa juzi mno au umeanza kufuatilia habari za mjini juzi, Sugu aliyekuwa anaimba hip hop juzi leo babu akalee wajukuu? Akuja mna shida
 
Mpo salama!

Kama utafuatilia mikutano na mambo ya CHADEMA utagundua kuwa Sugu ushawishi wake umeshuka Sana.
Yaani akiwepo sehemu ni kama hayupo hivi. Yaani huwezi kujua yupo au hayupo.

Hakuna anayemzingatia Sana Wala Waandishi wa habari na wachukua kamera hawana habari naye.
Na ukimwon labda kwenye picha Fulani ujue yupo kimakosa na mchukua kamera hakuwa amemlenga kumchukua Yeye.

Huko Mbeya ni wazi hawezi kutoboa kwa Tulia.

Sijajua nini kimeshusha ushawishi wa Sugu, Tulia naona anapepea tuu

Haya.
Ametumia busara sana kukaa kimya, matokeo yakitoka atamuunga mkono aliyeshinda , hiyo ni strategy nzuri kuweka akiba ya maneno ili yasitumike dhidi yako huko mbeleni
 
Back
Top Bottom