Hela ya AbdulMpo salama!
Kama utafuatilia mikutano na mambo ya CHADEMA utagundua kuwa Sugu ushawishi wake umeshuka Sana.
Yaani akiwepo sehemu ni kama hayupo hivi. Yaani huwezi kujua yupo au hayupo.
Hakuna anayemzingatia Sana Wala Waandishi wa habari na wachukua kamera hawana habari naye.
Na ukimwon labda kwenye picha Fulani ujue yupo kimakosa na mchukua kamera hakuwa amemlenga kumchukua Yeye.
Huko Mbeya ni wazi hawezi kutoboa kwa Tulia.
Sijajua nini kimeshusha ushawishi wa Sugu, Tulia naona anapepea tuu
Haya.
Ila kabakia kimya kwenye huu mnyukano wa Chadema.Mpo salama!
Kama utafuatilia mikutano na mambo ya CHADEMA utagundua kuwa Sugu ushawishi wake umeshuka Sana.
Yaani akiwepo sehemu ni kama hayupo hivi. Yaani huwezi kujua yupo au hayupo.
Hakuna anayemzingatia Sana Wala Waandishi wa habari na wachukua kamera hawana habari naye.
Na ukimwon labda kwenye picha Fulani ujue yupo kimakosa na mchukua kamera hakuwa amemlenga kumchukua Yeye.
Huko Mbeya ni wazi hawezi kutoboa kwa Tulia.
Sijajua nini kimeshusha ushawishi wa Sugu, Tulia naona anapepea tuu
Haya.
sugu ame stuck yuko dilemma, anasoma upepo amuunge nani mkono, wenzake wa kanda zingine na mikoa kama 18 hivi tayari wametangaza kumuunga mkono lissuMpo salama!
Kama utafuatilia mikutano na mambo ya CHADEMA utagundua kuwa Sugu ushawishi wake umeshuka Sana.
Yaani akiwepo sehemu ni kama hayupo hivi. Yaani huwezi kujua yupo au hayupo.
Hakuna anayemzingatia Sana Wala Waandishi wa habari na wachukua kamera hawana habari naye.
Na ukimwon labda kwenye picha Fulani ujue yupo kimakosa na mchukua kamera hakuwa amemlenga kumchukua Yeye.
Huko Mbeya ni wazi hawezi kutoboa kwa Tulia.
Sijajua nini kimeshusha ushawishi wa Sugu, Tulia naona anapepea tuu
Haya.
Hisia za jamii kuwa Sugu ni mmoja wa wanaotumiwa na Mwenyekiti Mbowe juu ya wale waliopishana misimamo na Mbowe, imemfanya kuonekana ana msimamo unaoyumba.Mpo salama!
Kama utafuatilia mikutano na mambo ya CHADEMA utagundua kuwa Sugu ushawishi wake umeshuka Sana.
Yaani akiwepo sehemu ni kama hayupo hivi. Yaani huwezi kujua yupo au hayupo.
Hakuna anayemzingatia Sana Wala Waandishi wa habari na wachukua kamera hawana habari naye.
Na ukimwon labda kwenye picha Fulani ujue yupo kimakosa na mchukua kamera hakuwa amemlenga kumchukua Yeye.
Huko Mbeya ni wazi hawezi kutoboa kwa Tulia.
Sijajua nini kimeshusha ushawishi wa Sugu, Tulia naona anapepea tuu
Haya.
Mwambie Lissu afanye nae mdahalo wa live tv show halafu watu watoe maoni uone.Mpo salama!
Kama utafuatilia mikutano na mambo ya CHADEMA utagundua kuwa Sugu ushawishi wake umeshuka Sana.
Yaani akiwepo sehemu ni kama hayupo hivi. Yaani huwezi kujua yupo au hayupo.
Hakuna anayemzingatia Sana Wala Waandishi wa habari na wachukua kamera hawana habari naye.
Na ukimwon labda kwenye picha Fulani ujue yupo kimakosa na mchukua kamera hakuwa amemlenga kumchukua Yeye.
Huko Mbeya ni wazi hawezi kutoboa kwa Tulia.
Sijajua nini kimeshusha ushawishi wa Sugu, Tulia naona anapepea tuu
Haya.
Unafiki kazi ngumu sana. Yupo njia panda aende hadharani kumuunga FAM akose Jimbo au akae kimya angalau kujenga Imani kidogo kwa watu wake wa Mbeya ambao wengi wanamtaka TALMpo salama!
Kama utafuatilia mikutano na mambo ya CHADEMA utagundua kuwa Sugu ushawishi wake umeshuka Sana.
Yaani akiwepo sehemu ni kama hayupo hivi. Yaani huwezi kujua yupo au hayupo.
Hakuna anayemzingatia Sana Wala Waandishi wa habari na wachukua kamera hawana habari naye.
Na ukimwon labda kwenye picha Fulani ujue yupo kimakosa na mchukua kamera hakuwa amemlenga kumchukua Yeye.
Huko Mbeya ni wazi hawezi kutoboa kwa Tulia.
Sijajua nini kimeshusha ushawishi wa Sugu, Tulia naona anapepea tuu
Haya.
Hisia za jamii kuwa Sugu ni mmoja wa wanaotumiwa na Mwenyekiti Mbowe juu ya wale waliopishana misimamo na Mbowe, imemfanya kuonekana ana msimamo unaoyumba.
Kwa bahati mbaya upande aliopo unatamani kuona wanaweka imani kwa aliye tayari kuufia msimamo wake. Na kwa bahati kwenye siasa unaweza kupitishwa hukumu hata Kwa hisia tu.
Ova
Kwa hiyo na wewe unaweza shawishiwa na mtu kama Sugu?Mpo salama!
Kama utafuatilia mikutano na mambo ya CHADEMA utagundua kuwa Sugu ushawishi wake umeshuka Sana.
Yaani akiwepo sehemu ni kama hayupo hivi. Yaani huwezi kujua yupo au hayupo.
Hakuna anayemzingatia Sana Wala Waandishi wa habari na wachukua kamera hawana habari naye.
Na ukimwon labda kwenye picha Fulani ujue yupo kimakosa na mchukua kamera hakuwa amemlenga kumchukua Yeye.
Huko Mbeya ni wazi hawezi kutoboa kwa Tulia.
Sijajua nini kimeshusha ushawishi wa Sugu, Tulia naona anapepea tuu
Haya.
Kwa hiyo na wewe unaweza shawishiwa na mtu kama Sugu?
Babu akalee wajukuu.
Kajikuta yuko katikati hajui aende kulia au kushoto...
Wajinga kama nyie mnaoamini watu ndio mkome.Hatari Sana MKUU.
Sugu yupo Dilemma.
Anashindwa kutoa Msimamo kuwa yupo upande gani! Ingawaje kuna kila dalili yupo upande wa Mwenyekiti Mbowe.
Mbaya zaidi anachohofia ni kuonekana Miaka yote mapambano Yake yalikuwa Bandia. Na hiyo itamfanya aongezeke kwenye orodha ya viongozi wanafiki waliowahi kutokea Tanzania.
Ni Kheri ujulikane tokea mwanzo wewe ni Mchumia tumbo, watu wakuponda tokea mwanzo lakini watakuheshimu kuliko kuwa Mnafiki
Wajinga kama nyie mnaoamini watu ndio mkome.
Bado huyo kibaraka mwingine mnaempigania huko ,soon mtakuwa mashoga kama yeye.
Wajinga kama nyie mnaoamini watu ndio mkome.
Bado huyo kibaraka mwingine mnaempigania huko ,soon mtakuwa mashoga kama yeye.
Sijawahi shikiwa akili Wala kuwa shabiki wa watu wapuuzi.ππ
Mtu wenu wa Mbeya Mkuu
Chama kubwa Huwa hakina hao watu,Kwa wakomunist ni sumu Kali.Wewe umekuwa shoga kama nani huko uliko?
Chama kubwa Huwa hakina hao watu,Kwa wakomunist ni sumu Kali.
Sijawahi shikiwa akili Wala kuwa shabiki wa watu wapuuzi.
Mfano yaani Mimi nishabikie kibaraka kama Lisu? Naanzia wapi? Achilia mbali huyo Sugu alishaishiwa kitambo,miaka 10 hakuna Cha maana amefanya Mbeya .
Toka Mbeya imeanza ,Mbunge wa uhakika ni Tulia Rais wa Mabunge Duniani na Spika wa Tanzania