Fedha ya rushwa ya Abdul na mama yake vimemuweka madarakani.Mpo salama!
Kama utafuatilia mikutano na mambo ya CHADEMA utagundua kuwa Sugu ushawishi wake umeshuka Sana.
Yaani akiwepo sehemu ni kama hayupo hivi. Yaani huwezi kujua yupo au hayupo.
Hakuna anayemzingatia Sana Wala Waandishi wa habari na wachukua kamera hawana habari naye.
Na ukimwon labda kwenye picha Fulani ujue yupo kimakosa na mchukua kamera hakuwa amemlenga kumchukua Yeye.
Huko Mbeya ni wazi hawezi kutoboa kwa Tulia.
Sijajua nini kimeshusha ushawishi wa Sugu, Tulia naona anapepea tuu
Haya.
Fedha ya rushwa ya Abdul na mama yake vimemuweka madarakani.
Kwisha habari yake
Aliwahi kunizingua mtandaoni nilipomshauri awe makini ili awakilishe vyema na kada ya sanaa bungeni...Haelewi elewi.
Ni kama mgeni kwenye msitu asioujua wenye Moto Mikubwa. Haelewi apite wapi, haelewi aseme nini. Hajui chakufanya
Dhuluma dhidi ya MsigwaMpo salama!
Kama utafuatilia mikutano na mambo ya CHADEMA utagundua kuwa Sugu ushawishi wake umeshuka Sana.
Yaani akiwepo sehemu ni kama hayupo hivi. Yaani huwezi kujua yupo au hayupo.
Hakuna anayemzingatia Sana Wala Waandishi wa habari na wachukua kamera hawana habari naye.
Na ukimwon labda kwenye picha Fulani ujue yupo kimakosa na mchukua kamera hakuwa amemlenga kumchukua Yeye.
Huko Mbeya ni wazi hawezi kutoboa kwa Tulia.
Sijajua nini kimeshusha ushawishi wa Sugu, Tulia naona anapepea tuu
Haya.
Nilimshangaa sana taita na hizo pigo za !!!!hii.... hapa bongo hamna"!!!Siku hizi yuko busy kututaarifu vitu anavyovaa vina thamani gani.
Unaweza kudhani hiki kiatu cha kawaida, hiki kiatu nimekinunua dollar 1500 na hapa tz zililetwa pair 3 tu.
Hizo ndizo mambo zake siku hizi ana mambo kama za akina dogo janja na rayvany
Sugu huwa anatembelea nyota tuu.Mpo salama!
Kama utafuatilia mikutano na mambo ya CHADEMA utagundua kuwa Sugu ushawishi wake umeshuka Sana.
Yaani akiwepo sehemu ni kama hayupo hivi. Yaani huwezi kujua yupo au hayupo.
Hakuna anayemzingatia Sana Wala Waandishi wa habari na wachukua kamera hawana habari naye.
Na ukimwon labda kwenye picha Fulani ujue yupo kimakosa na mchukua kamera hakuwa amemlenga kumchukua Yeye.
Huko Mbeya ni wazi hawezi kutoboa kwa Tulia.
Sijajua nini kimeshusha ushawishi wa Sugu, Tulia naona anapepea tuu
Haya.
Sugu anatembelewa na mabalozi wa nchi yenye ushawishi dunia nzima kama Marekani unataka afanye ubwatukaji wa nini?Mpo salama!
Kama utafuatilia mikutano na mambo ya CHADEMA utagundua kuwa Sugu ushawishi wake umeshuka Sana.
Yaani akiwepo sehemu ni kama hayupo hivi. Yaani huwezi kujua yupo au hayupo.
Hakuna anayemzingatia Sana Wala Waandishi wa habari na wachukua kamera hawana habari naye.
Na ukimwon labda kwenye picha Fulani ujue yupo kimakosa na mchukua kamera hakuwa amemlenga kumchukua Yeye.
Huko Mbeya ni wazi hawezi kutoboa kwa Tulia.
Sijajua nini kimeshusha ushawishi wa Sugu, Tulia naona anapepea tuu
Haya.
Mabalozi wanamjuwa Sugu, hao wenye nyota anawajuwa nani?Sugu huwa anatembelea nyota tuu.
Siku hizi yuko busy kututaarifu vitu anavyovaa vina thamani gani.
Unaweza kudhani hiki kiatu cha kawaida, hiki kiatu nimekinunua dollar 1500 na hapa tz zililetwa pair 3 tu.
Hizo ndizo mambo zake siku hizi ana mambo kama za akina dogo janja na rayvany
Watu wameamua kumpotezea baada ya kujua kuwa yeye na Sultan Mbowe wako kwenye kwapa la mama dula.Mpo salama!
Kama utafuatilia mikutano na mambo ya CHADEMA utagundua kuwa Sugu ushawishi wake umeshuka Sana.
Yaani akiwepo sehemu ni kama hayupo hivi. Yaani huwezi kujua yupo au hayupo.
Hakuna anayemzingatia Sana Wala Waandishi wa habari na wachukua kamera hawana habari naye.
Na ukimwon labda kwenye picha Fulani ujue yupo kimakosa na mchukua kamera hakuwa amemlenga kumchukua Yeye.
Huko Mbeya ni wazi hawezi kutoboa kwa Tulia.
Sijajua nini kimeshusha ushawishi wa Sugu, Tulia naona anapepea tuu
Haya.
Yaani sasa hivi kuwa team Mbowe ni kama umejipaka kinyesi.Kweli uchawi upo. Yaani nyota imezima kama mshumaa!
Unapo mtaja sultan, weka na Picha ili watu wamjue.Sugu ni chawa wa Sultan Mbowe Bin King'ang'anizi
Yaani Mbowe sasa hivi ndani ya Chadema amekuwa bundi kabisaWatu wanao muunga mkono Mh Mbowe wanahali mbaya sana.
Hapana, ni vile tu ja yeye hajatangaza kuita press aongeeMpo salama!
Kama utafuatilia mikutano na mambo ya CHADEMA utagundua kuwa Sugu ushawishi wake umeshuka Sana.
Yaani akiwepo sehemu ni kama hayupo hivi. Yaani huwezi kujua yupo au hayupo.
Hakuna anayemzingatia Sana Wala Waandishi wa habari na wachukua kamera hawana habari naye.
Na ukimwon labda kwenye picha Fulani ujue yupo kimakosa na mchukua kamera hakuwa amemlenga kumchukua Yeye.
Huko Mbeya ni wazi hawezi kutoboa kwa Tulia.
Sijajua nini kimeshusha ushawishi wa Sugu, Tulia naona anapepea tuu
Haya.
Sugu ni Team Mbowe na ni mmoja wale waliokwenda "kumuomba" Sultan aingie mzigoni ila kwa hali halisi inavyoonekana anaona aibu kuzuia upepo kwa viganja vya mikono.sugu ame stuck yuko dilemma, anasoma upepo amuunge nani mkono, wenzake wa kanda zingine na mikoa kama 18 hivi tayari wametangaza kumuunga mkono lissu
Mpo salama!
Kama utafuatilia mikutano na mambo ya CHADEMA utagundua kuwa Sugu ushawishi wake umeshuka Sana.
Yaani akiwepo sehemu ni kama hayupo hivi. Yaani huwezi kujua yupo au hayupo.
Hakuna anayemzingatia Sana Wala Waandishi wa habari na wachukua kamera hawana habari naye.
Na ukimwon labda kwenye picha Fulani ujue yupo kimakosa na mchukua kamera hakuwa amemlenga kumchukua Yeye.
Huko Mbeya ni wazi hawezi kutoboa kwa Tulia.
Sijajua nini kimeshusha ushawishi wa Sugu, Tulia naona anapepea tuu
Haya.