Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
laana ya kumhujumu yule mchungaji itammaliza. atubu tu na kuungama hamna namna. Alimsababisha mchungaji wa watu akajiaibishe sana mara kubebeshwa hadharani picha ya mama! akawa anaongea barabarani kama mwehu Msigwa wa watu!Nafsi itakuwa inamsuta..AIBU
Sugu wmelamba asili mkuuMpo salama!
Kama utafuatilia mikutano na mambo ya CHADEMA utagundua kuwa Sugu ushawishi wake umeshuka Sana.
Yaani akiwepo sehemu ni kama hayupo hivi. Yaani huwezi kujua yupo au hayupo.
Hakuna anayemzingatia Sana Wala Waandishi wa habari na wachukua kamera hawana habari naye.
Na ukimwon labda kwenye picha Fulani ujue yupo kimakosa na mchukua kamera hakuwa amemlenga kumchukua Yeye.
Huko Mbeya ni wazi hawezi kutoboa kwa Tulia.
Sijajua nini kimeshusha ushawishi wa Sugu, Tulia naona anapepea tuu
Haya.
elimu elimu elimu. Mr. II hana kisomo, tafuta elimu angalia usimwache akaenda zakeMpo salama!
Kama utafuatilia mikutano na mambo ya CHADEMA utagundua kuwa Sugu ushawishi wake umeshuka Sana.
Yaani akiwepo sehemu ni kama hayupo hivi. Yaani huwezi kujua yupo au hayupo.
Hakuna anayemzingatia Sana Wala Waandishi wa habari na wachukua kamera hawana habari naye.
Na ukimwon labda kwenye picha Fulani ujue yupo kimakosa na mchukua kamera hakuwa amemlenga kumchukua Yeye.
Huko Mbeya ni wazi hawezi kutoboa kwa Tulia.
Sijajua nini kimeshusha ushawishi wa Sugu, Tulia naona anapepea tuu
Haya.
Uchawa ni kitu kibaya. Wana Mbeya hawamtaki MBOWE, chaguo Lao ni Tundu Lissu. Sugu ni CHAWA wa MBOWEMpo salama!
Kama utafuatilia mikutano na mambo ya CHADEMA utagundua kuwa Sugu ushawishi wake umeshuka Sana.
Yaani akiwepo sehemu ni kama hayupo hivi. Yaani huwezi kujua yupo au hayupo.
Hakuna anayemzingatia Sana Wala Waandishi wa habari na wachukua kamera hawana habari naye.
Na ukimwon labda kwenye picha Fulani ujue yupo kimakosa na mchukua kamera hakuwa amemlenga kumchukua Yeye.
Huko Mbeya ni wazi hawezi kutoboa kwa Tulia.
Sijajua nini kimeshusha ushawishi wa Sugu, Tulia naona anapepea tuu
Haya.
Halafu ujue Sugu na Msigwa walikuwa ni washkaji sana. Kwa yeye haikuwa rahisi kugombea wote pale Nyasa, ila kwa shinikizo la Mwenyekiti anaingia vitani.Hatari Sana MKUU.
Sugu yupo Dilemma.
Anashindwa kutoa Msimamo kuwa yupo upande gani! Ingawaje kuna kila dalili yupo upande wa Mwenyekiti Mbowe.
Mbaya zaidi anachohofia ni kuonekana Miaka yote mapambano Yake yalikuwa Bandia. Na hiyo itamfanya aongezeke kwenye orodha ya viongozi wanafiki waliowahi kutokea Tanzania.
Ni Kheri ujulikane tokea mwanzo wewe ni Mchumia tumbo, watu wakuponda tokea mwanzo lakini watakuheshimu kuliko kuwa Mnafiki
Hakikaumejipaka kinyesi'
atajua hujui. maana kuna wakati asali inageuka kuwa shubiri!Sugu wmelamba asili mkuu
Huyo Tulia kafanya nini!? Mtu mzima kuwa chawa ni dalili ya ush*gerSijawahi shikiwa akili Wala kuwa shabiki wa watu wapuuzi.
Mfano yaani Mimi nishabikie kibaraka kama Lisu? Naanzia wapi? Achilia mbali huyo Sugu alishaishiwa kitambo,miaka 10 hakuna Cha maana amefanya Mbeya .
Toka Mbeya imeanza ,Mbunge wa uhakika ni Tulia Rais wa Mabunge Duniani na Spika wa Tanzania
We ni mkewe mpaka ujue kuwa hana shughuli ya kumuingizia kipato!?Ndio naweza.
1.Alikimbia Nchi Kwa visingizio kibao
2.Familia yake inaishi huko huko Ulaya
3.Hajawahi kemea ushoga Hadharani
4.Hana shughuli rasmi ya kumuingizia kipato ila anapata Fedha Kwa mabwana wake
5.Huwa anapinga Kila kitu Cha Tanzania licha ya kutumia
6.Huwa anaichafua na kusema vibaya Tanzania akiwa huko Kwa wanaomlisha.
Niongeze?
Hakika hautaion hiyo siku ambayo Lissu atakuwa Rais wa nchi hii maana hautakuwepo kama wale waliokusudia kumdhulumu uhai wake kisha wakatangulia wao!Achaneni na kibaraka sio tuu kwamba mnapoteza mda ila kamwe hatokuja kuwa Rais wa [emoji1241]
Kama unamuona Sugu ni babu utakuwa mtoto wa juzi mno au umeanza kufuatilia habari za mjini juzi, Sugu aliyekuwa anaimba hip hop juzi leo babu akalee wajukuu? Akuja mna shidaKwa hiyo na wewe unaweza shawishiwa na mtu kama Sugu?
Babu akalee wajukuu.
Ametumia busara sana kukaa kimya, matokeo yakitoka atamuunga mkono aliyeshinda , hiyo ni strategy nzuri kuweka akiba ya maneno ili yasitumike dhidi yako huko mbeleniMpo salama!
Kama utafuatilia mikutano na mambo ya CHADEMA utagundua kuwa Sugu ushawishi wake umeshuka Sana.
Yaani akiwepo sehemu ni kama hayupo hivi. Yaani huwezi kujua yupo au hayupo.
Hakuna anayemzingatia Sana Wala Waandishi wa habari na wachukua kamera hawana habari naye.
Na ukimwon labda kwenye picha Fulani ujue yupo kimakosa na mchukua kamera hakuwa amemlenga kumchukua Yeye.
Huko Mbeya ni wazi hawezi kutoboa kwa Tulia.
Sijajua nini kimeshusha ushawishi wa Sugu, Tulia naona anapepea tuu
Haya.