Sijajutia kabisa safari yangu ya Morogoro kuangalia maeneo (ardhi) ya uwekezaji

Sijajutia kabisa safari yangu ya Morogoro kuangalia maeneo (ardhi) ya uwekezaji

Idibo nlifikaga pia
Magere,berega.... kuzunguka exposure tosha sana unapata

Turiani ulienda mkuu nako kuko kuzuri

Ova
Eee nilienda tukaanza debate na mwenyeji wangu na mwambia ni mji wa kawaida sana hawajajenga anasema lkn vibe la hapa sio la kitoto paone hivihivi.😆😆
Kwa kifupi ni pazuri sana asee ukitoka hapo Sasa unashuka kwenye blonde la mpunga Hadi Raha.
 
Nina heka 200 handeni ndugu, ardhi safi, maji ya kuchimba, nina tractor na nimesafisha 40 hela 20 sasa, nilichezeshwa mno, nikatafuta wambulu 3 ( nao si haba kishirikina ) nikawanunulia na mifugo, siwalipi, wanajiendesha kwa tractor, mifugo na vibarua, na nimewapa target wasafishe angalau hela 150

Mimi Kule sitarudi mpaka Wageni wewe wengi!
Ni uzie heka 100 mkuu, nataka kuanza kolimo cha malkmao na machungwa na nanasi.
 
Hii nchi ni neema kila kona. Hata Dodoma wanayosema kame kuna neema.
Ukienda Njombe, Mbeya, Katavi mpaka Kigoma ni neema tupu.
Waiskarl wanagombea ardhi ya Kabgwani wakati huku kwetu ni PARADISO iliojikalia tu.
Siku tutakapo amka tutakuwa tumechelewa. Hongera kuchukua hatua.
Umenunua heka ngapi ?
 
Hakuna mbadala mkuu wenyeji ni wavivu 90% utajua yote hayo nakwambia na mengine mengi ambayo hujayaandika ukweli ni kwamba ninyi ni wavivu.

Hapo hapo Mvomero nimekutana na wasukuma Hadi mawasiliano Yao ninayo wanapiga kazi. Ukishindwa wewe na mke wako usidhani wote watashindwa mkuu. Tulizana wewe na mke wako mengine waachie wanaume. Nimetoka kahama Hadi hapo sijakurupuka Wala mhemuko ama papara la hasha!

Unapajua Pwani kisarawe (mto ruvu)? Upande huu ni morogoro na ng'ambo ni pwani?


Huko pia nishafika mkuu napajua Nje ndani vigogo Wana mashamba na mapori ya kutupwa lkn kipindi hicho hicho mjomba alipata Heka 70 Nenda gwata sehemu Moja inaitwa vizembe.

Kama ungesema hamna soko hapo ningekuelewa lkn Kwa uharo ulio andika nakuona ni Moja ya watu walioshindwa Kwa 100% unataka na wengine washindwe. Nimenunua heka5 trh16/11/2024. Tusitishe watu. Cha kuogopa ni kupoteza maisha tu na sivingine!!

Hapo Gwata ya Kisarawe nakubaliana na wewe.Bado kuna mashamba ya bei mzuri na mengine yana mawe kabisa
 
Back
Top Bottom