Ndio amesema, ni mawazo yake. Anayo haki hiyo. Ukweli anaujua mwenyewe"Waziri Mkuu Kasim Majaliwa Amesema kutokana na Utendaji wa Rais Samia Suluhu Anaupiga Mwingi Kama Vijana wanavyoendelea kusema na Mungu akijaalia Ataifikisha Vizuri Tanzania Mwaka 2025 na Mungu akijaalia atamaliza Salama Mwaka 2030" Ameyasema hayo Kwenye Kampeni ya Maendeleo ya Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya UVICO19
Nimesema ninahisi nina uwezo huo?Unahisi una uwezo wa kuwazuia!!!??
Mama anavyoupiga Mwingi Angeongezewa Mpaka 2040Utamaduni wa CCM uko wazi kabisa uchaguzi wa Rais ni 2030!
Alikosea kidogo angesema wazi Hadi 2035..."Waziri Mkuu Kasim Majaliwa Amesema kutokana na Utendaji wa Rais Samia Suluhu Anaupiga Mwingi Kama Vijana wanavyoendelea kusema na Mungu akijaalia Ataifikisha Vizuri Tanzania Mwaka 2025 na Mungu akijaalia atamaliza Salama Mwaka 2030" Ameyasema hayo Kwenye Kampeni ya Maendeleo ya Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya UVICO19
"Waziri Mkuu Kasim Majaliwa Amesema kutokana na Utendaji wa Rais Samia Suluhu Anaupiga Mwingi Kama Vijana wanavyoendelea kusema na Mungu akijaalia Ataifikisha Vizuri Tanzania Mwaka 2025 na Mungu akijaalia atamaliza Salama Mwaka 2030" Ameyasema hayo Kwenye Kampeni ya Maendeleo ya Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya UVICO19
Mama hii awamu amempokea Ngosha,awamu yake Rasmi inaanzia 2025 Hadi 2035Utamaduni wa CCM uko wazi kabisa uchaguzi wa Rais ni 2030!
Ulitaka afanyeje mkuu ?Niishiwa nguvu pale alipoambiwa kuwa shangazi zake wangepigwa na kuvunjwa miguu jamaa akauchuna tu
Japo Rais akitaka kumteua tena abanwi na sheria lakini sio lazima iwe hivyo.Anajipigia chapuo ili awe waziri Mkuu kwa miaka 15.
Hujui alichotakiwa kufanya kweli?Ulitaka afanyeje mkuu ?
Pamoja na hayo kujikomba lazimaJapo Rais akitaka kumteua tena abanwi na sheria lakini sio lazima iwe hivyo.
Hiyo ni kawaida yetu wabongo si unakumbuka kuna watu wakati wa Kikwete walimsifia sana na hata kutaka aendelee na madaraka lakini alipoingia Magu wale wale walimponda sana na kumsifia Magu leo tena wale wale wanamkandia Magu sasa sifa zote kwa Samia! Hii ndio bongo watu wapo kama vinyonga.Pamoja na hayo kujikomba lazima
Wanachotazama ni mkono kwenda kinywani tu.Hiyo ni kawaida yetu wabongo si unakumbuka kuna watu wakati wa Kikwete walimsifia sana na hata kutaka aendelee na madaraka lakini alipoingia Magu wale wale walimponda sana na kumsifia Magu leo tena wale wale wanamkandia Magu sasa sifa zote kwa Samia! Hii ndio bongo watu wapo kama vinyonga.
Hujaelewa nini sasa hapo? Kwani ni uongo alichosema?"Waziri Mkuu Kasim Majaliwa Amesema kutokana na Utendaji wa Rais Samia Suluhu Anaupiga Mwingi Kama Vijana wanavyoendelea kusema na Mungu akijaalia Ataifikisha Vizuri Tanzania Mwaka 2025 na Mungu akijaalia atamaliza Salama Mwaka 2030" Ameyasema hayo Kwenye Kampeni ya Maendeleo ya Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya UVICO19
Mama anaupiga Mwingi soma hapa ๐"Waziri Mkuu Kasim Majaliwa Amesema kutokana na Utendaji wa Rais Samia Suluhu Anaupiga Mwingi Kama Vijana wanavyoendelea kusema na Mungu akijaalia Ataifikisha Vizuri Tanzania Mwaka 2025 na Mungu akijaalia atamaliza Salama Mwaka 2030" Ameyasema hayo Kwenye Kampeni ya Maendeleo ya Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya UVICO19
Ndio maana nimekuuliza ulitaka afanyaje ?Hujui alichotakiwa kufanya kweli?