Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
Don't take matter too seriously on JF madam.!Juzi ulikuja hapa na uzi kwamba upo kwenye ndoa ya miezi nane lakini unampenda boyfriend kuliko mume
Mods tunaomba aina ya watu kama huyu muwafungie kabisa maana wanaondoa credibility ya JF
Kwanza huyu mtu ni mwanaume sio mwanamke achilia mbali huo uzi anaodai ana ndoa.Juzi ulikuja hapa na uzi kwamba upo kwenye ndoa ya miezi nane lakini unampenda boyfriend kuliko mume
Mods tunaomba aina ya watu kama huyu muwafungie kabisa maana wanaondoa credibility ya JF
Tumia fenesi lina vipele pele litakukuna vizuriTikiti maji[emoji3][emoji3][emoji3]
Lile linaweza likamegukia humo ndani..si unajua laini laini..Tumia fenesi lina vipele pele litakukuna vizuri
Haya Mambo ya Shemale ndo Nini?..au femboy ndo Nini?Don't take matter too seriously on JF madam.!
A guy must be either shemale or femboy!![emoji124][emoji124]
Unatuuzia chai.Mm sijajolewa na natamani siku ifike nije nimpate wangu wa peke yangu atakaye nipenda kwa dhati ya moyo wake. Halafu atulie tuli. Bila hivyo siolewi.
Mpk sasa nina miaka 29, lkn kila nikitaka kuingia kwenye ndoa moyo unasita. Kwasabbb tangu nipevuke nimekuwa natongozwa na wanaume (lkn walio wengi ni waume za watu).
Sasa najiuliza inamaana na mm nikiingia kwenye ndoa mume wangu atakuwa anachepuka kama hawa? Sasa kama una mume halafu kucha kutwa anahaingaika na akina dada wa kitaa, nini maana yake?
Ndoa nn faida yake ikiwa hata ukiwa nayo mwenzi wako anachepuka?
Wanawake wengi wameridhika na ujinga huu. Ukiongea nao wanasema "wanaume ndiyo walivyo au wanaume hawaridhiki". Sasa kama hawaridhiki? Ndiyo nijiingize kwenye kitu hatari? Nikipata magonjwa je?
Kwa ujinga huu, siolewi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daahHujaolewa kwa sababu waoaji hawakuoni kutokana na kutokidhi vigezo.
Ndio maana unamshabikia Lisu kumbe huna akili.Mm sijajolewa na natamani siku ifike nije nimpate wangu wa peke yangu atakaye nipenda kwa dhati ya moyo wake. Halafu atulie tuli. Bila hivyo siolewi.
Mpk sasa nina miaka 29, lkn kila nikitaka kuingia kwenye ndoa moyo unasita. Kwasabbb tangu nipevuke nimekuwa natongozwa na wanaume (lkn walio wengi ni waume za watu).
Sasa najiuliza inamaana na mm nikiingia kwenye ndoa mume wangu atakuwa anachepuka kama hawa? Sasa kama una mume halafu kucha kutwa anahaingaika na akina dada wa kitaa, nini maana yake?
Ndoa nn faida yake ikiwa hata ukiwa nayo mwenzi wako anachepuka?
Wanawake wengi wameridhika na ujinga huu. Ukiongea nao wanasema "wanaume ndiyo walivyo au wanaume hawaridhiki". Sasa kama hawaridhiki? Ndiyo nijiingize kwenye kitu hatari? Nikipata magonjwa je?
Kwa ujinga huu, siolewi.
Just simple as that...hajakidhi wala kutimiza masharti. Agawe tu mpaka uzeeni mwake..Hujaolewa kwa sababu waoaji hawakuoni kutokana na kutokidhi vigezo.
Boss siku zote najuaga we ni me.Mm sijajolewa na natamani siku ifike nije nimpate wangu wa peke yangu atakaye nipenda kwa dhati ya moyo wake. Halafu atulie tuli. Bila hivyo siolewi.
Mpk sasa nina miaka 29, lkn kila nikitaka kuingia kwenye ndoa moyo unasita. Kwasabbb tangu nipevuke nimekuwa natongozwa na wanaume (lkn walio wengi ni waume za watu).
Sasa najiuliza inamaana na mm nikiingia kwenye ndoa mume wangu atakuwa anachepuka kama hawa? Sasa kama una mume halafu kucha kutwa anahaingaika na akina dada wa kitaa, nini maana yake?
Ndoa nn faida yake ikiwa hata ukiwa nayo mwenzi wako anachepuka?
Wanawake wengi wameridhika na ujinga huu. Ukiongea nao wanasema "wanaume ndiyo walivyo au wanaume hawaridhiki". Sasa kama hawaridhiki? Ndiyo nijiingize kwenye kitu hatari? Nikipata magonjwa je?
Kwa ujinga huu, siolewi.
Hii ni jamiiforums where anonymity is given an upper hand.Boss siku zote najuaga we ni me.
Kwa kweli.Hii ni jamiiforums where anonymity is given an upper hand.
Yatakupa 'stress' tu ukitaka kuyajua..Haya Mambo ya Shemale ndo Nini?..au femboy ndo Nini?
Huu ubinafsi watoto wa kike mtauacha lini ?Mm sijajolewa na natamani siku ifike nije nimpate wangu wa peke yangu atakaye nipenda kwa dhati ya moyo wake. Halafu atulie tuli. Bila hivyo siolewi.
Nini kifanyike?Wadau mleta mada anahoja ya msingi, tuijadili tumsaidie!
Kuna ukweli ktk madai aloyasema!
Mbona wengi mmemu attack yeye binafsi badala ya kujadili hoja?
Matharani; madai kwamba wanawake wanaendekeza ujinga kwa kukubaliana na zana kuwa wanaume wote ni lazima wachepuke, Je hii ni kweli?
Je nini kifanyike?