Sijaona Channel yoyote ya Uingereza ikiomboleza kifo cha Malkia kwa kupiga nyimbo za kwaya kama Afrika

Sijaona Channel yoyote ya Uingereza ikiomboleza kifo cha Malkia kwa kupiga nyimbo za kwaya kama Afrika

Mpanda nyangobe

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2015
Posts
762
Reaction score
1,688
Wenzetu naona hawapo kama sisi...Huku kwetu Mkuu wa nchi akidondoka tv zote na redio hukesha zikipiga kwaya za maombolezo..huku wasanii wakikesha studio kutunga nyimbo maalum za msiba..lakin Kwa wenzetu hii kitu haipo..Sio BBC Wala Manchester tv walioweza kupiga kwaya hata Kwa dk 2... Ni live coverage na documentary kidogo basi... Sasa najiuliza huu utaratibu wa kupiga kwaya na kulazimishana kutunga nyimbo za maombolezo tumeurithi wapi
 
Wenzetu naona hawapo kama sisi...Huku kwetu Mkuu wa nchi akidondoka tv zote na redio hukesha zikipiga kwaya za maombolezo..huku wasanii wakikesha studio kutunga nyimbo maalum za msiba..lakin Kwa wenzetu hii kitu haipo..Sio BBC Wala Manchester tv walioweza kupiga kwaya hata Kwa dk 2... Ni live coverage na documentary kidogo basi...
Huu ni ukorofi sasa
 
Wenzetu naona hawapo kama sisi...Huku kwetu Mkuu wa nchi akidondoka tv zote na redio hukesha zikipiga kwaya za maombolezo..huku wasanii wakikesha studio kutunga nyimbo maalum za msiba..lakin Kwa wenzetu hii kitu haipo..Sio BBC Wala Manchester tv walioweza kupiga kwaya hata Kwa dk 2... Ni live coverage na documentary kidogo basi...
Twapishana tamaduni na desturi, wao wazungu sie waafrika.
 
Wenzetu naona hawapo kama sisi...Huku kwetu Mkuu wa nchi akidondoka tv zote na redio hukesha zikipiga kwaya za maombolezo..huku wasanii wakikesha studio kutunga nyimbo maalum za msiba..lakin Kwa wenzetu hii kitu haipo..Sio BBC Wala Manchester tv walioweza kupiga kwaya hata Kwa dk 2... Ni live coverage na documentary kidogo basi...
Kwamba hujui tuna culture tofauti ? We huoni huku kwetu hata akifariki mtoto maduka yanafungwa mtaani
 
Kuna makabila, vifo, hupambwa na Sherehe, siku hizo za maombolezo, watu wanacheza, kuelewa n.k .

Nadhani umenielewa.
 
Kila nchi ina utamaduni wale wa kuwaomboleza viongozi wao.Tangu msiba huuutokee bbc wapo live nimeshuhùdia utamaduni wa ajabu hivyo sii lazima tufanane. Wao wana utamaduni wao sisi tuna utamaduni wetu
 
... dini wametuletea wao hata hizo choir!
Ila kulia kwetu sisi waafrika ni kwa kishindo ila wao huficha kilo hicho kwa kuweka maua na kutafakari kifo khasa cha mtu mkubwa.

Ndo maana runinga zao zote zonyesha picha na msiba huo kwa kuendana na kumbukumbu za maisha ya aliefariki.

Lakini haimaanishi kuwa nao wao watu hawazimii wala kudondoka maana tayari hayo yametokea. Na kwaya zao zipo makanisani.

Hatuwezi kuwa sawa nao.
 
Ila kulia kwetu sisi waafrika ni kwa kishindo ila wao huficha kilo hicho kwa kuweka maua na kutafakari kifo khasa cha mtu mkubwa.

Ndo maana runinga zao zote zonyesha picha na msiba huo kwa kuendana na kumbukumbu za maisha ya aliefariki.

Lakini haimaanishi kuwa nao wao watu hawazimii wala kudondoka maana tayari hayo yametokea. Na kwaya zao zipo makanisani.

Hatuwezi kuwa sawa nao.
Psychologists wanasema kulia kunaondoa "sumu" mwilini; kulia ni jambo jema kuliko kutunza fundo moyoni. Wacha tulie.
 
Psychologists wanasema kulia kunaondoa "sumu" mwilini; kulia ni jambo jema kuliko kutunza fundo moyoni. Wacha tulie.
Hakika.

Ndo maana nimesema sie waafrika hulia khasa ingawa binadamu wote wapo waliao kiukweli na wake waliao kiunafiki.
 
Wenzetu naona hawapo kama sisi...Huku kwetu Mkuu wa nchi akidondoka tv zote na redio hukesha zikipiga kwaya za maombolezo..huku wasanii wakikesha studio kutunga nyimbo maalum za msiba..lakin Kwa wenzetu hii kitu haipo..Sio BBC Wala Manchester tv walioweza kupiga kwaya hata Kwa dk 2... Ni live coverage na documentary kidogo basi... Sasa najiuliza huu utaratibu wa kupiga kwaya na kulazimishana kutunga nyimbo za maombolezo tumeurithi wapi
Kila taifa lina utamaduni wao wa kuomboleza na kufarijiana.
 
Kwahiyo ni nini kama hao hawapigi kwaya? Tuwaige? Ulivyo kilaza sisi tungekuwa hatupigi kwaya, halafu wao wanapiga kwaya bado ungehoji kwanini hatupigi kwaya kama wazungu.
 
Sio kila kitu lazima tuige. Mfano ingetokea Africa mtoto au mjukuu wa malkia(kiongozi) kutabasamu kama wale wa uingereza mngeshazusha wamefurahia msiba kwa kupata ulaji ila wao wanaongea na kutabasamu wala wazungu hawawasakami,wametembea kishujaa mita kadhaa kusindikiza jeneza ukumbini jambo ambalo ni gumu kwa wafiwa wa kiafrika.

Tujiamini sio kila jambo ni la kuiga na kusakamana. Mlianza kusimanga hayati kuangwa na maelfu saiv mpo kimyaa malkia anaagwa kwa siku nne mfululizo.
 
Nipo na manzi hapa anaitwa Elizabeth wala hana habari huyu kama wajina wake kafariki!.
 
Back
Top Bottom