GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wenzetu naona hawapo kama sisi...Huku kwetu Mkuu wa nchi akidondoka tv zote na redio hukesha zikipiga kwaya za maombolezo..huku wasanii wakikesha studio kutunga nyimbo maalum za msiba..lakin Kwa wenzetu hii kitu haipo..Sio BBC Wala Manchester tv walioweza kupiga kwaya hata Kwa dk 2... Ni live coverage na documentary kidogo basi... Sasa najiuliza huu utaratibu wa kupiga kwaya na kulazimishana kutunga nyimbo za maombolezo tumeurithi wapi
Kuna Mtu aliniambia kuwa Mzungu ni Mungu nikambishia na akaniambia niondoe herufi z katika Neno Mzungu halafu nimsomee linalobaki nikamwamkia Shikamoo.