Sijaona Channel yoyote ya Uingereza ikiomboleza kifo cha Malkia kwa kupiga nyimbo za kwaya kama Afrika

Sijaona Channel yoyote ya Uingereza ikiomboleza kifo cha Malkia kwa kupiga nyimbo za kwaya kama Afrika

Wenzetu naona hawapo kama sisi...Huku kwetu Mkuu wa nchi akidondoka tv zote na redio hukesha zikipiga kwaya za maombolezo..huku wasanii wakikesha studio kutunga nyimbo maalum za msiba..lakin Kwa wenzetu hii kitu haipo..Sio BBC Wala Manchester tv walioweza kupiga kwaya hata Kwa dk 2... Ni live coverage na documentary kidogo basi... Sasa najiuliza huu utaratibu wa kupiga kwaya na kulazimishana kutunga nyimbo za maombolezo tumeurithi wapi

Kuna Mtu aliniambia kuwa Mzungu ni Mungu nikambishia na akaniambia niondoe herufi z katika Neno Mzungu halafu nimsomee linalobaki nikamwamkia Shikamoo.
 
Wenzetu naona hawapo kama sisi...Huku kwetu Mkuu wa nchi akidondoka tv zote na redio hukesha zikipiga kwaya za maombolezo..huku wasanii wakikesha studio kutunga nyimbo maalum za msiba..lakin Kwa wenzetu hii kitu haipo..Sio BBC Wala Manchester tv walioweza kupiga kwaya hata Kwa dk 2... Ni live coverage na documentary kidogo basi... Sasa najiuliza huu utaratibu wa kupiga kwaya na kulazimishana kutunga nyimbo za maombolezo tumeurithi wapi
na ndiye alikuwa custodian wa kanisa la anglican...duniani kuna vituko sana
 
Inaonyesha Ni Jinsi Gani Mtoa Mada Hujielewi.. Unategemea Utamaduni wa Afrika ni Sawa na Nchi zingine?
 
Back
Top Bottom