Sijaona Kosa la Mzungu, ila najua ameondoshwa kutokana na Uswahili, Majungu na Uafrika Wetu

Acheni ujinga wazungu wanaoujua wapo Singida huyu wa Simba apishe asajiliwe striker mwingine kwenye dirsha dogo
 
Kama ninyi mnaosema haya ni wana Simba basi tusi la msomali linatuhusu.
Mijitu sijui ina nini kuambudu wazungu
 
Kama ninyi mnaosema haya ni wana Simba basi tusi la msomali linatuhusu.
Mijitu sijui ina nini kuambudu wazungu
Kama Simba imeweza kukaa miaka 2 na Chriss Mugallu imeshindwa nini kukaa na Dejan? Nipe wewe ubora wa Mugalu dhidi ya Dejan.
 
Kwahiyo simba wajiandae kwa "KARMA"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…