Sijaona mahala Spika Tulia Ackson alipoisigina Katiba ya JMT. Mnaolalama mnalalama bila kutumia busara

Mbona cuf mliwafuta siku hiyo hiyo hamkusubiria hata hukumu ya mahakama

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Wewe kweli changi wa malunde
Nini kilitangulia kati ya kufukuzwa uanachama, kutolewa bungeni na kwenda mahakamani????.
Ivi jambazi akiwa jela huku anatumika kufungua Afu akaamua kukata rufaa huwa anatolewa kwanz jela rufaa yake ikisikilizwa?
Bado Mahakama ina wajibu wa kutafsiri utaratibu uliotumika na CHADEMA
 
Kwa CHADEMA tu ndiyo mahakama inakuwa na wajibu wa kutafsiri utaratibu ila kwa CUF,CCM na vyama vingine mamlaka ya mahakama hayapo?
Kuna watu wa hovyo sana Tanzania. Nimempiga spana kaishia kudai sijapenda shule namtajia nilipopita Nate ataje anauliza ili iweje???
Vinajidai vinajua wakati viliiba mitihani
 
Kuna watu wa hovyo sana Tanzania. Nimempiga spana kaishia kudai sijapenda shule namtajia nilipopita Nate ataje anauliza ili iweje???
Vinajidai vinajua wakati viliiba mitihani
Wanajidai waelewa kumbe ni janja isiyokuwa na tija.
 
Akikujibu niite mbwa nimekaa paleeee!
 
Hawa vichwa maji watakupotezea muda bure. Wamechagua kujifanya hawaelewi kama mazuzu vile!! Kama kulikuwa na makosa kuwaondoa waliokuwa wabunge wa CUF wakati ule, mbona hatusikii kuwa watalipwa fidia ya uonevu kwa kuondolewa bungeni wakati walikata rufaa mahakamani?
Huu uhuni hata Tulia mwenyewe anajua ni uhuni,alikuwa ni Naibu spika wakati huo. Mahakamani, hukumu/ maamuzi hutolewa kwa kurejelea hukumu/maamuzi ya kesi za nyuma zenye madai/jinai yanayofanana na kesi ya wakati wa Sasa.
Kwa bunge letu itategemea na aina ya spika,Rais aliyeko madarakani na ccm ya wakati huo. Unaweza kuona bunge jingine kwa issue ya hivi hivi wakaamua tofauti na sasa.
Wao kuvunja katiba na sheria ilimradi Rais au CCM inataka nini kwao siyo hoja kabisa.
Na ukilitazama sakata la kina Halima,mtu mwenye akili timamu, jina pekee linalowafaa ni mamluki wa ccm. Ilijulikana na wengi kama ilivyokuwa ahadi ya Ndugai kuwa bunge lijalo wataangalia namna ya kuondoa ukomo wa muda wa urais na ni bunge hili la sasa, kama siyo Mungu kuingilia kati, leo tungekuwa na Rais asiye na kikomo. Mabadiliko ambayo akina Halima wangeshiriki. Hawa ni wasaliti hawastahili kuonewa huruma na yeyote. Hao wanaowatetea ni sehemu ya kundi la uovu na wanafanya hivyo baada ya mission yao kufeli 17/03-
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…