Mpatanishi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,811
- 623
cjakutukana kumponda mshkaji kwa kuwa hana pesa, umefanya kitu kibaya. Na kwa nn useme wanawake wote wanapenda pesa?futa kauli yako unadhalilisha wadada wenzako? Mwanamke apendae pesa ni malaya tu sina neno lingine la kumkinganisha nalo.Then kwa nn ume copy msg yangu nusu tu?Ungemalizia na kumeza hizo pini pale chini.Acha kujidhalilisha bila aibu unadai wanawake mnapenda pesa duh!Nakuuliza tena men mwenye pesa,magari n.k then ni muhuni analala na machangu na men masiki hana pesa bt ana mapenz ya kweli,muaminifu na mwenye heshima ww unachagua yupi?wee nitusi ila hakuna mdada yuko tayari kukaa na mtu ambaye hana pesa,umasikini ni mzigo au hujui hilo???eti real luv,wee real luv ukiiona utaijua????UNAIPIMAJE??? kisa mtu ni maskini then ana real luv eeeh???endelea kujidanganya!ingekuwa hivyo pale muhimbili wanaopata ukimwi wangekuwa matajiri peke yake..........................mtu akiwa funancially stable mwanamke inakupa confidence hata mkizaa mtoto hatapata shida,au hata wewe mwenyewe mwanamke ukipatwa na tatizo kuna mtu wa kukusaidia............................meza tema ila ukweli ndio huo wanawake tunataka mtu atakayetupa financial security!