Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
kuna mambo general wakiona wengi ndio yalivyo usitafute kichaka walichojificha wenzako .Sio lazima unachokiona wewe kila mtu akione,au usichokiona wewe kila mtu asikione
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna mambo general wakiona wengi ndio yalivyo usitafute kichaka walichojificha wenzako .Sio lazima unachokiona wewe kila mtu akione,au usichokiona wewe kila mtu asikione
chadema ikosw mvuto kupitia thread yako jf njoo mwanza uulize jana nin kilitokea kuhusu mkutano wa John pambalu na lema ndio utaelewa chadema ni nan hapa nchin.Impact ipo. Kwa CCM wanafaidi maana Chadema inaonekana kukosa mvuto!
Usiangalie umati ule, angalia outcome ya wahudhuruaji ambao wanakatishwa tamaa. Mimi nilikuwepo katika mkutano huo. Kabla na baada ni mbingu na jua. Watu wanapoteza matumaini baada ya kuwasikilizachadema ikosw mvuto kupitia thread yako jf njoo mwanza uulize jana nin kilitokea kuhusu mkutano wa John pambalu na lema ndio utaelewa chadema ni nan hapa nchin.
Punguza kujieleza sana chawa weweutapigika mpaka uzeeke na mikutano ya hadhara kupitia siasa itakupangia hadi chupi bei yake na hizo kahawa zako utauza sana huku sukuma gang wenzako wakijambajamba hovyo mitandaon maana mwisho wenu ni 2025 tunawafuta kabisa baada ya hapo.
😅😅😅😅😅😅😅😅😅chadema ni shida aisee.Unategeme nini kama sera ndio hizi hapa :
View attachment 2549985
Kijana wa Lumumba kaz kubwa uliyopewa hapo floor ya kwanza Lumumba ni kuipiga vita CDM kwa kila namna!! Pambana mzee kikubwa mkono uende kinywani!!Nimefuatilia mikutano mbalimbali tunayofanya hapa nchini sioni muitikio wowote kutoka kwa wananchi kuonyesha kuwa wanakubaliana na hii mikutano.
Watu hawana uhakika wa kula , kupeleka watoto shule na hata kupata hela ya kupoza akili. Alafu waje wawasikilize watu wanaoamini wanakula meza moja na CCM inayowaharibia maisha?
Tumebakiza propaganda uchwara Twita kwa kuedit picha ili kuonyesha nyomi la uongo.
Tukubali tulishawakwa na kuwavunja moyo watanzania.
Naomba ujiheshimuKijana wa Lumumba kaz kubwa uliyopewa hapo floor ya kwanza Lumumba ni kuipiga vita CDM kwa kila namna!! Pambana mzee kikubwa mkono uende kinywani!!
Maskini akipata matako hulia pata. Jamaa kukaa nje miaka miwili na kufanikiwa kupata hela ya kununua mchele kwa siku anaona wale wasiokuwa na uwezo huo wana laana.Kitendo cha kuona ubwabwa na nyama ni anasa inadhihirisha jinsi gani nchi yetu bado ni maskini sana.
Kama ana vigezo vya kufanya kazi BOT Kuna shida ganiwajinga kaendeshen bodaboda huku watoto wa majaliwa wakifanya kaz BOT NA TRA.
Hakuna mtu anahangaika na machadema na wewe,Watzn wanamfahamu hakuna mwanasiasa atakutafutia maisha hayupo..Nimefuatilia mikutano mbalimbali tunayofanya hapa nchini sioni muitikio wowote kutoka kwa wananchi kuonyesha kuwa wanakubaliana na hii mikutano.
Watu hawana uhakika wa kula, kupeleka watoto shule na hata kupata hela ya kupoza akili. Alafu waje wawasikilize watu wanaoamini wanakula meza moja na CCM inayowaharibia maisha?
Tumebakiza propaganda uchwara Twita kwa kuedit picha ili kuonyesha nyomi la uongo.
Tukubali tulishawakwa na kuwavunja moyo Watanzania.
Uende ukafanye nn?, huo ujinga wanaoufanya ndio ukausikilize?, naichukia ccm pamoja na washirika wao woote,Nchi hii inawajinga wengi huwezi kuwa mwanachadema halafu hautaki kwenda kwenye mikutano ni Hali ya mtu kutokujitambua na kutokujua haki zako ni mtu alikubali kutawaliwa na wajinga
Utaonaje nawe unalipwa kwa kuichafua Chadema humu?Nimefuatilia mikutano mbalimbali tunayofanya hapa nchini sioni muitikio wowote kutoka kwa wananchi kuonyesha kuwa wanakubaliana na hii mikutano.
Watu hawana uhakika wa kula, kupeleka watoto shule na hata kupata hela ya kupoza akili. Alafu waje wawasikilize watu wanaoamini wanakula meza moja na CCM inayowaharibia maisha?
Tumebakiza propaganda uchwara Twita kwa kuedit picha ili kuonyesha nyomi la uongo.
Tukubali tulishawakwa na kuwavunja moyo Watanzania.
Hivi huna ya kuandika yanayohusu chama chako chakavu(ccm) badala yake uko bize kuandika habari za Chadema?Kamanda mwenzetu amekosea sana.
Mwanza jana walitukanwa Bodaboda na wakaambiwa wale wa Tanga waliomsihi Lema aombe radhi wakamwambie mama yao.Watu washawachoka , unaenda kwenye mkutano unaambiwa Kaz yako ya laana
Unashindana na maisha, maisha hayataki ushindaniAfajiri nauza kahawa, mchana nauza matunda, usiku naenda kufanya kazi ya ulinzi yaani boli linatembea kinoma muda wa kwenda kudanganywa ili niwatengenezee watu maisha natoa wapi
Hakika,huyo jamaa anafikiri maisha ni utumwa,Maisha siyo utumwa,maisha ni vile unayaendesha ili siku moja yakulipe.Unashindana na maisha, maisha hayataki ushindani
We jamaa unatuchukia sana sisi ChademaMuda wa kwenda kudanganywa 😂😂🤩
Acha sisi tutatfute pesa . Wewe tuliza makalioWewe huna tofauti na mtumwa.