Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Wamebweka sanaHauwezi kuona wewe Kamanda Uliyechoka ,ungekuwa haujachoka ungeona impact yake ,si umeona Lema akisema kitu mafisi wanatoka porini na kubweka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamebweka sanaHauwezi kuona wewe Kamanda Uliyechoka ,ungekuwa haujachoka ungeona impact yake ,si umeona Lema akisema kitu mafisi wanatoka porini na kubweka.
Hata wewe ni laana tu kwa familia yako.
Umelaanika na kurogwa
ipo siku hutaona. hata umuhimu wa kwenda chooni kwa upumbavu wako.Nimefuatilia mikutano mbalimbali tunayofanya hapa nchini sioni muitikio wowote kutoka kwa wananchi kuonyesha kuwa wanakubaliana na hii mikutano.
Watu hawana uhakika wa kula, kupeleka watoto shule na hata kupata hela ya kupoza akili. Alafu waje wawasikilize watu wanaoamini wanakula meza moja na CCM inayowaharibia maisha?
Tumebakiza propaganda uchwara Twita kwa kuedit picha ili kuonyesha nyomi la uongo.
Tukubali tulishawakwaza na kuwavunja moyo Watanzania.
Sio kwa kiwango cha manyumbu wa cdm aisee,Hata wewe ni laana tu kwa familia yako.
Muulizeni Lema ambae ndio anatangaza sera za cdm ,mimi nimewasilosha anachoropoka kwenye mikutano MangiUmelaanika na kurogwa
Hahaha 😂Asante sana mkuu
We mavi achana na mimiipo siku hutaona. hata umuhimu wa kwenda chooni kwa upumbavu wako.
Mada ipo wazi acha uduanziMikutano mingapi imefanyika? Positive Impact Is too broad! Ulitarajia impact Gani? Mikutano ya hadhara ikulipie Ada? Ikuletee chakula mezani? Wewe ni MPUMBAVU kama Wapumbavu wengine
duhMada ipo wazi acha uduanzi