Sijaona positive impact ya mikutano ya hadhara tunayofanya. Wananchi wapo busy kutafuta maisha

Sijaona positive impact ya mikutano ya hadhara tunayofanya. Wananchi wapo busy kutafuta maisha

Tunataka suluhisho la matatizo yetu,siyo kwamba hatuyajui mpaka watu watuambie,mf Kenya Raila Odinga na wanasiasa wa upinzani wanafanya mikutano mada juu ikiwa kushushwa gharama za maisha.

Kwani hapo Canada nini cha ajabu,yaani waafrica kwa utumwa hawajambo.

Siku hizi dunia ni kijiji,watu sio wajinga bana,hata US kuna homeless kibao wanalala kwa street.
Tunataka suluhu umeme,Maji uhakika.
Watu walete solution ya matatizo.
 
Nimefuatilia mikutano mbalimbali tunayofanya hapa nchini sioni muitikio wowote kutoka kwa wananchi kuonyesha kuwa wanakubaliana na hii mikutano.

Watu hawana uhakika wa kula, kupeleka watoto shule na hata kupata hela ya kupoza akili. Alafu waje wawasikilize watu wanaoamini wanakula meza moja na CCM inayowaharibia maisha?

Tumebakiza propaganda uchwara Twita kwa kuedit picha ili kuonyesha nyomi la uongo.

Tukubali tulishawakwaza na kuwavunja moyo Watanzania.
ipo siku hutaona. hata umuhimu wa kwenda chooni kwa upumbavu wako.
 
Back
Top Bottom