Sijaona sababu za TAKUKURU kumshikilia Mkurugenzi TPA

Sijaona sababu za TAKUKURU kumshikilia Mkurugenzi TPA

Hoja ni sahihi labisa. Ila kwa hawa ambao wamekuwa wakishabikia sheria mbaya, ni sahihi wafanyiwe hivyo ili wajue ubaya wa sheria zetu. Watu wanaona sheria hizi mbaya ni nzuri kwa vile wanaamini jaziwagusi wao.
 
Don't claim ndugu yangu people differ in their personalities. When come the public interest you must surrender your selfish traits for the welfare of your fellow. Note, wapo watu wanaweza kulitumikia bila makashifa makubwa ya rushwa

Not for Tanzania and Tanzanians Chief!!!
 
Mkuu hiyo ndo Magufuli Legacy!
Weka mtu ndani halafu ndo unatafuta nini cha kumshitaki.

Kweli TAKUKURU na Polisi inabidi wajifunze sheria na haki za watuhumiwa.

Kuna watu wamekaa ndani leo mwaka wa tano, si TAKUKURU wala Polisi wana charges zinazoweza kusimama kisheria.

Hawa TAKUKURU na Polisi wajipime kama kazi yao wanaijua au la.
 
Acha ungese wewe kakutwa na bil 3+ nini kingine unataka, msituletee ujinga sa hii
 
Tuacheni Unafiki hakuna Mtanzania ambaye akiwekwa katika Nafasi fulani au akipata Wadhifa kwenye Sekta yenye Pesa hatoiba.
Wizi unatokana na hali harisi ya maisha ya kitanzania. Ni swala gumu sana kulikwepa hasa ukiwa kwenye nafasi ya ulaji. Sema ndio ule vizuri, ili hata kikinuka uwe safe side..
 
Umesema kweli tupu,na hapa Raisi atoe muongozo kwahizi taasisi la sivyo atajikuta anakwama,naamini kwamaneno ya mama kuwa anataka uwazi wa taarifa za wizi au upotevu nakusisitiza hakuna haja ya makesi ya ajabu ajabu yakwamba yanaichafua serikali nitofauti kabisa namwanzo,huko nyuma ukweli ndio uliolichafua taifa mfano kwa CAG mzee asad,hivyo nivema akatoa hotuba au muongozo wanamna anavyotaka kuongoza asiogope kuonekana tofauti namtangulizi wake yale mazuri yenye tija kwa wananchi na taifa kwa ujumla ayaenzi na yale mabaya aachane nayo nahata wale wasiotaka kuyaacha aachane nao, hatma ya amani,umoja na mshikamano vipo mikononi mwake mama.
 
Wizi unatokana na hali harisi ya maisha ya kitanzania. Ni swala gumu sana kulikwepa hasa ukiwa kwenye nafasi ya ulaji. Sema ndio ule vizuri, ili hata kikinuka uwe safe side..

Katika Kiswahili chetu Fasaha Watanzania hatuna neno ' harisi ' bali tuna neno sahihi la ' halisi ' tafadhali. Wewe ni wa kule kule Kanda Maalum?
 
Mkuu hiyo ndo Magufuli Legacy!
Weka mtu ndani halafu ndo unatafuta nini cha kumshitaki.

Kweli TAKUKURU na Polisi inabidi wajifunze sheria na haki za watuhumiwa.

Kuna watu wamekaa ndani leo mwaka wa tano, si TAKUKURU wala Polisi wana charges zinazoweza kusimama kisheria.

Hawa TAKUKURU na Polisi wajipime kama kazi yao wanaijua au la.
Mkuu bila kukosea umesoma sheria sasa nikueleze hao unaowatetea wanafanya makosa ya wazi kabisa kiasi kwamba kila mtu anakuwa anaona yanayofanyika mfano mzuri CAG wamefika hapo baada ya kufanya ukaguzi haraka tu wakaona huo uhalifu yaani watu wanajichukulia pesa za serikali kirahisi tu bila hata wasiwasi na kupeleka nyumbani sasa mtu kama huyo lazima wahusika wamkamate ili ajibu tuhuma yake.
 
Ulishawahi kujiuliza ni team gani huwa inamsaidia CAG kukusanya taarifa?

Are you really familiar with the chain of command of the office of CAG in Tanzania? Bara na Visiwani?

Unafahamu ni “special tasks forces” za aina ngapi zinahusishwa during the investigating and collecting of the report?

In short we have NAOT (The National Audit Office of Tanzania), which is the Supreme Audit Institution of the URT, headed by the CAG!

Anahojiwa, sio mahabusu!
Weww hujui chochote kuhusu ukaguzi, unajiandikia tu hapa uharo.

Hii ndio shida ya mitandao, kila mtu kujifanya anajua hata asiyoyakua.

Kwa taarifa yako maswali yako yote uliouliza hapo ni uharo tu, hakuna swali la maana.
 
Mkuu bila kukosea umesoma sheria sasa nikueleze hao unaowatetea wanafanya makosa ya wazi kabisa kiasi kwamba kila mtu anakuwa anaona yanayofanyika mfano mzuri CAG wamefika hapo baada ya kufanya ukaguzi haraka tu wakaona huo uhalifu yaani watu wanajichukulia pesa za serikali kirahisi tu bila hata wasiwasi na kupeleka nyumbani sasa mtu kama huyo lazima wahusika wamkamate ili ajibu tuhuma yake.
Tatizo mna confuse kati ya kumweka mtuhumiwa ndani na kumpeleka mahakamani ili kesi isikilizwe.
Mtu yeyote hana hatia unless proven mahakamani.

Hii ya eti kumweka mtu ndani ili uchungizi ufanyike ni ya uonevu na ni ya mtu asiyejiamini kisheria
.
 
Kumshikilia ni kuzuia asiharibu uchunguzi ikiwa ni pamoja na kuchoma nyaraka. Akiwa huru ataingilia uchunguzi kwa kuwapanga watendaji wake nini wafanye. TAKUKURU wapo sawa kabisa.
 
Jina lako na unaemtete ni wale wale wakule akina mshomiree kwa hiyo huna impact yoyote kwa sasa tulia tunyooshe nchi tumeibiwa sana, tumechezewa vyakutosha, wamefanya hili ni shamba la bibi.
 
Unawasaidia ndugu zako kwa miradi iki kikinuka wakusaidie
Kama unakula kuleni wote, ili iwe ngumu kufunga staff wote ni ngumu kuwafunga wafanyakazi wote, kinachofachika watafukuza, hamisha na kusimamisha.. kama mnapiga 100%.. unachukua hata 8% au 10% izo tisini hakikisha kila mtu anailamba 😀😀😀.. ili kikinuka muone kama wafafunga wote.. ila sasa ubinafsi mtu anataka ale 95%.. lazima kinuke tu.. utajiri mzuri ni ule wa kidogo kidogo
 
Bwachaaaaaaaa, bwacha bwaikire......
Kama ilivyodesturi muhaya usimtupe muhaya mwenzako.......
 
Back
Top Bottom